ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, April 13, 2016

TANZIA TANZANIA NA MAREKANI

Bwana Emmanuel Muganda anasikitika kutangaza kifo cha shemeji yake Kanali Maxmilian Aikael Mbowe kilichotokea leo mchana katika hospitali ya Muhimbili Dar-es-salaam na mipango ya mazishi inaendelea kufanyika.Kwa mawisiliano zaidi wasiliana na

Emmauel Muganda
8810 Roundhouse Circle
Easton MD 21601
Eliud Mbowe

BWANA AMETOA NA AMETWAA

1 comment:

Unknown said...

Pole sana Uncle Muganda na familia yote ya Mbowe