Advertisements

Wednesday, May 25, 2016

MAJALIWA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO ZAMBIA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Watanzania waishio Zambia kwenye ubalozi wa Tanzania uliopo Lusaka Mei 24, 2016. Majaliwa alikwenda Zambia kumwakilisha Rais John Magufuli kwenye Mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika- ADB uliofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Mlungushi. 
Baadhi ya Watanzania waishio Zambia wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakatia lipozungumza nao kwenye ubalozi wa Tanzania uliopo Lusaka. Majaliwa alikwenda Zambia kumwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika – ADB, Mei 24, 2016. 
Baadhi ya Watanzania waishio Zambia wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakatia lipozungumza nao kwenye ubalozi wa Tanzania uliopo Lusaka. Majaliwa alikwenda Zambia kumwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika – ADB, Mei 24, 2016. 
Baadhi ya Watanzania waishio Zambia wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakatia lipozungumza nao kwenye ubalozi wa Tanzania uliopo Lusaka. Majaliwa alikwenda Zambia kumwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika – ADB, Mei 24, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: