Advertisements

Tuesday, May 17, 2016

MR HASHIM LUNDENGA ASHAURIWE AJITOE KWENYE UANDAAJI WA MISS TANZANIA SABABU HAAMINIKI TENA...SOMA HAPA


Nimeona kwenye habari hashim lundenga anaomba serikali imsaidie kutafuta wafadhili wa Miss Tanzania..
Kama yupo humu au jamaa yeyote aliyopo humu amfikishie huu ushauri.

Ni vizuri akakaa pembeni ya Miss Tanzania maana hakuna kampuni yeyote yenye akili itakayotoa pesa zake kwa Miss Tanzania ya lundenga...

Seke seke la Siti mtemvu ni kubwa sana limemvunjia sana trust... na kurudisha trust sio kazi ndogo.

Hata kama Lundenga anategemea shughuli za Miss Tanzania kupata hela yake ya kuishi... ni vizuri akatumia.mbinu za yeye kukaa pembeni na kuweka sura nyingine kama mwandaaji kwa ajili ya kupata trust ya mashabiki na wadhamini...

Ila yeye kama yeye mzee lundenga na skendo ya Siti Mtemvu hawezi fanikiwa tena kama enzi zile za zamani

1 comment:

Anonymous said...

No self respecting business organization will seek to associate itself with this gentleman. Truly the Sitti Mtemvu affair not only destroyed his intergrity and disrepute to the Miss Tanzania brand but also stigmatized the country. Thankfully, we also showed we can take measures to arrest wayward characters such as Mr Lundenga. He should no be allowed leadership in the Miss Tanzania. His involvement and defence of the scandal is beyond repair. The Minister responsible should take immediate corrective action. We should not be seen to be pleading to Lundenga's sense of mortality; he has none. Unless he is pushed out he will not vacate the post.