Advertisements

Thursday, May 5, 2016

MWILI WA MPENDWA WETU ANDREW NICKY SANGA (KING DREW) WAWASILI NYUMBANI KWAO DODOMA KWA AJILI YA MAZISHI

 Baba Mzazi wa Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga akiwa anapokelewa Baada ya Kuwasili Dodoma Usiku huu
 Mwili wa Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga  ukiwa unaingia nyumbani kwao Dodoma Ukitokea Dar es salaam baada ya kutua Jana kutoka Marekani
 Mwili wa Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga ukiwa unakaribia kuingizwa nyumbani kwao usiku huu
 Mwili wa Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga ukiwa umeshaingizwa ndani mwao usiku huu
 Majonzi yakiwa yametawala nyumbani kwa wazazi wa Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga baada ya mwili kuwasili
 Mama Zoe akiwa na majonzi baada ya kuwasili katika nyumba ya wazazi wa Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga
 Mtumishi wa Mungu akiwa anafanya maombezi ya kushukuru kwa ndugu wote waliosafiri kufika salama
 Ndugu jamaa na Marafiki wakiwa katika Msiba wa Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga usiku huu Dodoma

Picha zote na Fredy Njeje

4 comments:

Anonymous said...

Inasikitisha sana jamani,Mungu awatie nguvu wapendwa.

Anonymous said...

Inasikitisha sana chozi limenitoka.

Anonymous said...

Naomba kuuliza ubalozi wa Tanzania nchini Marekani unasema nini kuhusu kifo cha huyu kaka na wengine wote wanaouwawa.Sababu wako kimya sana na kwa kawaida naamini inabidi watuambie kitu, huyu ni mtanzania moja ya jukumu lao ni kufuatilia vitu kama hivi. Mmarekani akiuawa Tanzania unadhani watakaa kimya. Ingekua breaking news CNN.please watuambie inakuaje.

Anonymous said...

Msiombe ufiwe na mtoto.kuzika mtoto uliezaa mwenyewe maumivu hayaelezeki.Ni heri mtoto kuzika Mzazi ila Mzazi kuzika mtoto ni maumivu yasiyoisha.Hii habari hata usingizi sipati