Wednesday, May 11, 2016

SALAMU ZA PONGEZI KWA MH. DR. ASHA ROSE MIGIRO


SALAMU ZA PONGEZI KWA MH. DR. ASHA ROSE MIGIRO


Uongozi wa Tawi la CCM-NY unatuma salamu za pongezi kwa Mh. DR. Asha Rose Migiro kwa kuteuliwa kuwa balozi wa Tanzania nchini Uingereza. Wanachama wa CCM-NY wanakutakia afya njema na kila la kheri katika utekelezaji wa majukumu yako ya kuiwakilisha nchi Tanzania.


IMETOLEWA
GASTON MKAPA
KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI

CCM-NY

No comments: