Advertisements

Tuesday, May 24, 2016

YANGA KUANZIA UGENINI NA WAARABU WA ALGER


YANGA SC itafungua dimba na Mouloudia Olympique Bejaia nchini Algeria Juni 17, mwaka huu katika Kundi A Kombe la Shirikisho Afrika.
Siku hiyo, mabingwa wa zamani wa Afrika, TP Mazembe ya DRC watakuwa wenyeji wa Medeama ya Ghana katika mchezo mwingine wa kundi hilo.
Mechi za Kundi B siku hiyo; Kawkab Marakech watakuwa wenyeji wa mabingwa watetezi Etoile du Sahel katika mchezo wa Kundi B nchini Morocco, wakati F.U.S Rabat watakuwa wenyeji wa Ahly Tripoli nchini Morocco pia.
Ikitoka Algeria, Yanga itarejea nyumbani kuikaribisha TP Mazembe Juni 28, kabla ya kumaliza na Medeama ya Ghana Julai 15, Dar es Salaam pia.
RATIBA KOMBE LA SHIRIKISHO
KUNDI A:
Juni 17, 2016
MO Bejaia Vs Yanga SC
TP Mazembe Vs Medeama
Juni 28, 2016
Yanga SC vs TP Mazembe
Medeama Vs MO Bejaia
Julai 15, 2016
Yanga SC Vs Medeama
MO Bejaia Vs TP Mazembe
Julai 26, 2016
TP Mazembe Vs MO Bejaia
Medeama Vs Yanga SC
Agosti 12, 2016
Medeama Vs TP Mazembe
Yanga SC Vs MO Bejaia
Agosti 23, 2016
TP Mazembe Vs Yanga SC
Mo Bejaia Vs Medeama
KUNDI B:
Kawkab Marrakech Vs Etoile du Sahel 
F.U.S Rabat Vs Ahly Tripoli 
Juni 28, 2016
Etoile du Sahel Vs F.U.S Rabat
Ahly Tripoli Vs Kawkab Marrakech 
Julai 15, 2016
Etoile du Sahel Vs Ahly Tripoli
Kawkab Marrakech Vs F.U.S Rabat
Julai 26, 2016
F.U.S Rabat Vs Kawkab Marrakech 
Ahly Tripoli Vs Etoile du Sahel 
Agosti 12, 2016

Ahly Tripoli Vs F.U.S Rabat
Etoile du Sahel Vs Kawkab Marrakech
Agosti 23, 2016
Kawkab Marrakech Vs Ahly Tripoli
F.U.S Rabat Vs Etoile du Sahel 

No comments: