Gloria akimlisha kipande cha keki mdhamini wa pendo lake kwenye send off yao iliyofanyika huko Massachusetts weekend.
Gloria akiwa kwenye vazi la kimalikia ukumbuni hapo
Gloria akiwa na mdhamini wa pendo lake wakipata ukodak na keki yao., kwa picha zaidi nenda soma zaidi
3 comments:
ni wanaigeria kama si wanaigeria wamejiaibisha wanatangaza utamaduni ambao sio wao
nice work
Elewa hivi mwanamke mtanzania anaolewa na mnaigeria ndio maana yake. Hapa bibi harusi mtarajiwa kava kavaa vazi la kinaigiria kwa maana yeye ni queen wa mumewe. Lakini ukiangalia wengi wamejaa na nguo za vitenge ambazo zinavaliwa Africa nzima na hata ulaya pia.
Hakuna aliyesema kitenge au khanga ni vazi la Nigeria.
Post a Comment