Monday, June 6, 2016

YALIYOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba , bungeni mjini Dodoma Juni 6, 2016.
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (kushoto) akiteta na Naibu wake, Dkt. Medard Kalemani, bungeni mjini Dodoma Juni 6, 2016.
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage (kushoto) akiteta na Waziri wa Elimu, Sayansi , Tekinolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako, bungeni mjini Dodoma Juni 6, 2016.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye akisoma Azimio la Bunge kuridhia Mkataba wa Kimataifa wa Udhibiti wa Matumizi ya Dawa na Mbinu za kuongeza Nguvu Michezoni, bungeni mjini Dodoma Juni 6, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: