Advertisements

Sunday, July 3, 2016

CUF YAZINDUA TAWI LA WANAFUNZI WANACHAMA WA CUF LA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (JIVICUF UDSM)

 Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa , Juvicuf, ambaye pia ni Mbunge wa Mchinga Hamidu Bobal (kushoto), akizungumza na wanafunzi wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (JIVICUF UDSM), Dar es Salaam jana wakati akizindua tawi la wanafunzi hao katika chuoni hapo.
 Mbunge wa Kilwa Kusini Seleman Bungara maarufu Bwege (CUF), akizungumza na wanafunzi hao katika uzinduzi huo.

No comments: