Ustadh Malik (mwenye kitabu) akiongoza dua ya kumuombea marehemu dada yetu Khadija Abubakar Said iliofanyika katika kitongoji cha Germantown Maryland USA,
Sheikh Bwalu ( mwenye kanzu nyupe ) akishiriki katika kisomo cha marehemu shemegi yake kilichohudhuriwa na watanzania waishio katika maeneo ya DMVDada Aisha Bwalu (wapili kutoka kulia) kwa hisia kali akiwa katika kisomo cha marehemu dada yake Khadija Abubakar Said, pia ndugu jamaa na marafiki walishiriki kuonyesha ushirikiano wao
No comments:
Post a Comment