Mshambuliaji wa kujitoa mhanga amejilipua katikati ya Jiji la Media jirani na Msikiti wa Mtume. Jiji la Medina ni miongoni mwa miji mitakatifu kwa mujibu wa Imani za Kiislamu.
Kituo cha Televisheni cha Arabiya kimesema mlipuaji huyo alitekeleza unyama huo wakati maofisa wa usalama wakifuturu.
Habari kutoka mjini humo zimesema maofisa wawili wameuawa, lakini hakuna taarifa rasmi ya kiserikali iliyotolewa hadi sasa.
No comments:
Post a Comment