Advertisements

Tuesday, July 5, 2016

MKUU WA MKOA WA RUVUMA AWATEMBELEA WANANCHI WALIOPOTEZA NDUGU ZAO KWENYE AJALI YA MAJI MTO RUVUMA

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Dkt. Binilith Mahenge (mwenye shati jeupe) akiwa ndani ya Mtumbwi akivuka Mto Ruvuma kutoka kijiji cha Mkenda Songea kwenda kijiji cha Mitomoni wilaya ya Nyasa, kwenda kutembelea familia za watu tisa waliofariki dunia kufuatia ajali ya Maji kwenye Mto huo, walipokuwa wakivuka. 
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Dkt. Binilith Mahenge akiwafariji wafiwa katika kijiji cha Mitomoni wilaya ya Nyasa.

No comments: