Advertisements

Tuesday, July 5, 2016

RAIS BARACK OBAMA AMFANYIA SHEREHE YA KUZALIWA MWANAE MILIA



Rais Barack Obama wa Marekani amemfanyia bonge la sherehe ya kuzaliwa binti yake Milia wakati akitimiza miaka 18.

Sheria hiyo ilifanyika ikitumbuizwa na Kendrick Lamar ambapo Rais Obama alimuimbia wimbo wa Happy Birthday Milia licha ya kutozingatia vina vyake.
Rais Obama akimuimbia Milia huku Kendrick Lamar akipiga makofi na kutabasamu kulia ni nyota Janelle Mona 
                  Birthday girl Milia akiwa na furaha tele katika siku yake ya kuzaliwa 

1 comment:

Anonymous said...

You mean Malia?