Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainabu Telack akishirikiana na Katibu Tawala wa
Wilaya ya Kishapu, Shadrack Kengese kugawa vyandarua kwa wanafunzi walioathiriwa
na kuunguliwa kwa bweni katika Shule ya sekondari Shinyanga wilayani Kishapu.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainabu Telack akiwafariji wanafunzi wa Shule ya Sekondari Shinyanga baada ya kuunguliwa bweni lao hivi karibuni alipokwenda kugawa misaada ya vifaa mbalimbali. Wengine kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kishapu, Stephen Magoiga.
Mkuu wa Shule ya Sekondari Shinyanga, Mwalimu Marxon Paul akitoa taarifa fupi
ofisini kwake kuhusu ajali ya moto iliyotokea shuleni kwake hivi karibuni na kusababisha
kuungua kwa moja ya mabweni.
Mkuu wa Wilaya ya Kishapu mkoani, Shinyanga Nyabaganga Taraba akizungumza
wakati wa kikao kifupi na viongozi mbalimbali ofisini kwa mkuu wa shule ya sekondari
shinyanga kabla ya zoezi la kutoa misaada.
No comments:
Post a Comment