Advertisements

Wednesday, July 20, 2016

WABUNIFU WA NDEGE WATAKIWA KUOMBA KIBALI

Mkazi wa Songea mji mdogo wa Tunduma mkoani
By Fidelis Butahe, Mwananchi; fbutahe@mwananchi.co.tz

Dar es Salaam. Licha ya kuwapo kwa wabunifu kadhaa za ndege na magari, huku wananchi wakitaka Serikali iwaunge mkono kwa kuwawezesha, huenda wengi wao wasifikie ndoto zao.

Tayari mkazi wa Tunduma mkoani Songwe, Adam Kimikile (34) aliyetengeneza helikopta ni kama amepigwa ‘stop’ na Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kujihusisha na utengenezaji au ubunifu wa ndege bila kufuata taratibu.

TCAA imesema anayetaka kutengeneza ndege ama vifaa vyake, azingatie kanuni za usafiri wa anga na kupata kibali cha mkurugenzi wake mkuu na hatua zinazopaswa kuzingatiwa.

Kwa taarifa zaidi nunua gazeti lako la Mwananchi au soma mtandaoni kupitiawww.epaper.mcl.co.tz

1 comment:

Anonymous said...

thats why we dont make it....let the guy make his stuff , finalize his prototype.... or give him a break to pay the upfront tax but we dont ...so all smart guys get scared to try as tayari financially is tough to make a prototype