Advertisements

Saturday, August 6, 2016

TANGAZO MEMORIAL SERVICE DMV



Ndugu na marafiki. Tunawatangazia kuwa kutafanyika MISA kwa ajili ya msiba wa Familia ya mzee Mchungaji John Mbatta siku ya Jumamosi tarehe 06 Augost 2016.

MAHALI

Living Faith Lutheran Church.

1605 Veirs Mill Road.

(At Broadwood Drive)

Rockville, MD 20851.
Kuanzia saa tisa mchana (3.00 PM) mchana hadi saa kumi na moja na nusu (5.30 PM). Tafadhali, MUDA ni muhimu sana kuzingatia. Kwa maelezo zaidi contact
Jessica Mushala-301-807-4934
Loveness Mamuya-240-423-0437
Dr.Seche Malecela-240-643-8023
Joha Nyang'anyi-240-813-5563
Catherine Mukami-240-481-0392.
Betty Mbatta-240-355-7688, Patricia Mbatta-540-522-1131
Leah Mbatta 513-687-7805 Tumaini Kaisi-301-433-3411

3 comments:

Anonymous said...

Poleni wafiwa. Nani amefariki?

Anonymous said...

Mchungaji mbatta alifiwa na watu watano huko Tanzania waliyokatwa katwa na Amerudi salama.na sasa anafaya misa ya kuwaombea na sadaka kwa mungu kwani mungu ashukuriwe kwa kila jambo

Anonymous said...

Jamani so sad poleni sana