Advertisements

Friday, August 12, 2016

TANZIA NEW YORK NA NYUMBANI TANZANIA


Mwanajumuiya mwenzutu Dr. Temba amefiwa na mdogo wake leo huko nyumbani Tanzania. Tunazidi kufuatilia na tutawapa taarifa zaidi punde tutakapozipata.

Dr. Temba anapatikana kwa simu namba
347 489- 6532 Tunaweza mpigia na kumpa pole.

Mungu ametoa na Mungu ametwaa jina lake lihimidiwe. Amen

Gaston Mkapa
Kwa niamba ya uongozi NYTC

No comments: