Advertisements

Monday, August 29, 2016

VIDEO: 11 WASIMAMISHWA CUF, JULIUS MTATIRO ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA MUDA

Mwenyekiti wa muda wa Chama cha CUF,  Ndg. Julius Mtatiro

Kwa mujibu wa taarifa ya CUF mbele ya waandishi wa habari Viongozi waliosimamishwa uanachama kwa mujibu wa katiba ya chama ibara ya 85 (5)(C) hadi hapo watakapopata fursa ya kujieleza mbele ya Baraza Kuu ni hawa wafuatao. 

1. Prof Lipumba
2. Magdalena Sakaya
3. Abdul Kambaya
4. Ashura Mustapha
5. Omar Mhina
6. Thomas Malima
7. Kapasha Kapasha
8. Maftaha Nachuma
9. Mohammed Habib Mnyaa
10. Haroub Shamis
11. Mussa Haji Foum

 Wakati Huo huo Mwanasiasa machachari wa CUF, Ndg. Julius Mtatiro ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa muda wa Chama kuelekea Uchaguzi wa chama. 

Tazama video hapa chini

No comments: