Advertisements

Sunday, September 11, 2016

KATIBU MKUU UTUMISHI DKT. LAURENA NDUMBARO AZINDUA BONANZA LA UZINDUZI WA MICHEZO YA 34 YA SHIMIWI JIJINI DAR ES SALAAM

 Watumishi kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakiwa katika mistari tayari kwa kuanza mazoezi wakati wa Bonanza la Uzinduzi wa Michezo ya 34 ya Shimiwi leo Jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru.
 Katibu Mkuu Utumishi Dkt. Laurean Ndumbaro (watatu kulia) na Katibu Mkuu Ikulu Mhe. Peter Ilomo (wa tatu kushoto) wakiongoza watumishi kutoka Wizara na Taasisi za Umma kufanya mazoezi wakati wa Bonanza la Uzinduzi wa Michezo ya 34 ya Shimiwi leo Jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru.
  Katibu Mkuu Utumishi Dkt. Laurean  Ndumbaro (watatu kulia) akiwa bega kwa bega na  Katibu Mkuu Ikulu Mhe. Peter Ilomo akiwaongoza watumishi kutoka Wizara na Taasisi za Umma kufanya mazoezi ya viungo wakati wa Bonanza la Uzinduzi wa Michezo ya 34 ya Shimiwi leo Jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru.
 Watumishi wa Umma kutoka Wizara na Taasisi mbalimbali za Umma wakihitimisha mazoezi ya kupasha mwili huku wakiongozwa na Katibu Mkuu Utumishi Dkt. Laurean Ndumbaro (watatu kulia) akiwa na  Katibu Mkuu Ikulu Mhe. Peter Ilomo  wakati wa Bonanza la Uzinduzi wa Michezo ya 34 ya Shimiwi leo Jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru.
 Watumishi wa Umma kutoka Wizara na Taasisi wakifanya mazoezi ya viungo wakati wa Bonanza la Uzinduzi wa Michezo ya 34 ya Shimiwi leo Jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru.
Mgeni rasmi Katibu Mkuu Utumishi Dkt. Laurean Ndumbaro akisoma hotuba kwa niaba ya Katibu Mkuu Kiongozi wakati wa Bonanza la Uzinduzi wa Michezo ya 34 ya Shimiwi leo Jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru. Nyuma ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel.

No comments: