Advertisements

Monday, September 12, 2016

Kipindi cha Ongea na Shangazi Sept 9, 2016.....Kauli katika mahusiano

Kipindi cha ONGEA NA SHANGAZI hukujia kila Ijumaa kutoka Kilimanjaro Studio. Aunty Asha Akida anakuwa akijadili mambo mbalimbali kuhusu mahusiano kwa wapendanao, maisha ya familia, malezi ya watoto na mengine mengi, huku ukipata nukuu mbalimbali kuhusu mada husika na muziki murua
Ungana nasi kuanzia saa 11 kamili jioni majira ya Marekani Mashariki (5:00pm ET) na hii ni kila siku ya ijumaa kupitia www.kwanzaproduction.com ama kupitia TuneIn tun.in/sfeLX
Kwa walio Marekani na Canada piga 240 454 0093

No comments: