Advertisements

Wednesday, September 21, 2016

KIPINDI MAALUMU CHA UCHAGUZI WA DICOTA - JUKWAA LANGU


Usikose kujiunga nasi kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU, Jumatatu ya Septemba 26, 2016 saa 11 jioni kwa saa za Amerika Mashariki, tutasikia moja kwa moja toka kwa wagombea wa nafasi za uongozi wa Diaspora Council of Tanzanians in America (DICOTA).
 
Pia utapata fursa ya kuuliza maswali na kujua utaratibu mzima wa uchaguzi na muhula ujao wa uongozi huo.
 
Ni katika JUKWAA LANGU, kinachorushwa toka Kilimanjaro Studios na kusikika kupitia www.kwanzaproduction.com ama Vijimambo Radio katika TuneIn. 

Wajue wagombea http://bit.ly/2d8nK5e
 
Sikiliza tangazo la kipindi hapa.


No comments: