Advertisements

Saturday, September 10, 2016

KUZINDULIWA KANISA KESHO JUMAPILI

TANGAZO
Wana wa Mungu wetu aliye hai, Amani iwe kwenu. Ninayofuraha kuwatangazia kuwa Swahili Lutheran Church itazinduliwa rasmi Jumapili September 11, 2016. Ibada itaanza saa tisa kamili mchana bila kuchelewa, wakati tuliopangiwa. Swahili Lutheran Church imesajiriwa rasmi katika jimbo la Maryland na kupewa Certificate Authentication Code: 5000000000818723
Nachukua nafasi hii kuwakaribisha wote. Nakuomba mkaribishe rafiki na jirani yako uje naye. Tutakuwa na mhubiri mgeni, The Rev. Dr. Joseph Bocko kutoka makao makuu ya kanisa la Kiinjili la Kilutheri Amerika, Chicago (ELCA African National Ministries Program Director.)
http://www.salemelca.com/BockoJoseph.pngC:\Users\John Mbatta\Pictures\Rev. John Mbatta.JPG
The Rev. Dr. Joseph M. Bocko Rev. John Z. Mbatta
Pia kutakuwa na waimbaji wa kwaya kutoka makanisa ya hapa inchini.
Ibada itafanyika kwa Anuani ifuatayo:
Living Faith Lutheran Church
1605 Veirs Mill Road (at Broadwood Drive)
Rockville, MD 20851


Kwa “Directions” wasiliana na Mch. John Mbatta kwa simu 703-863-2727
Amani  iwe kwenu. Mch. John Mbatta

No comments: