Advertisements

Tuesday, October 4, 2016

BANDA LA MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA (TFDA)LAVUTIA WENGI KATIKA MAONESHO YA WAJASILIMALI KANDA NYANDA ZA JUU KUSINI

Kaimu Meneja huduma kwa wateja na Elimu kwa Umma Ndugu Jemsi Ndege akitoa elimu kwa wajasilimali na wananchi waliofika katika banda la Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA)Katika maonesho ya wajasilimali Kanda ya Nyanda za Juu Kusini yaliyoandaliwa na SIDO katika viwanja vya bustani ya jiji la Mbeya.
Baadhi ya wananchi waliojitokeza katika Maonesho ya wajasilimali Kanda ya Nyanda za juu kusini katika viwanja vya busatni ya jiji la Mbeya wakiwa katika banda la Mamlaka ya Chakula na Dawa( TFDA) 
Kaimu Meneja huduma kwa wateja na Elimu kwa Umma Ndugu Jemsi Ndege akitoa maelezo kwa mgeni rasmi aliyetembelea banda la TFDA ,Ndugu Chiwangu Nyasebwa ambaye alimuwakilisha katibu Tawala Mkoa wa Mbeya kwa ajili ya zoezi la ufungaji wa maonesho hayo ya wajasilimali Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Mbeya,katika viwanja vya bustani ya jiji la Mbeya . 
Mgeni rasmi katika Maonesho ya wajasilimali Ndugu Chiwangu Nyasebwa akizungumza mara baada ya kutembelea banda ya Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) ambao walishiriki katika maonesho ya wajasilimali kwa lengo la kutoa elimu juu ya ubora wa bidhaa zinazozalishwa na wajasilimali hao 

No comments: