Advertisements

Friday, October 21, 2016

PLATINUM CREDIT TANZANIA YACHANGIA MAAFA YA KAGERA

Afisa masoko Platinum Credit Tanzania, Gideon Lufunyo (kushoto) akikabidhi msaada wa mifuko 300 ya saruji ambayo ni sawa na tani 15 kwa Mkuu wa mkoa Kagera, Salum Kijuu ikiwa ni msaada wa taasisi hiyo kwa waathirika wa tetemekonla Ardhi mkoani humo.
Kampuni ya Platnum Credit Tanzania Leo imekabidhi msaada wa mifuko 300 ya sumenti kwa mkuu wa mkoa wa Bukoba Salum Kajuu kwa ajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi lililotokea hivi karibuni.
                   
Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo Jana ofisa masomo wa kampuni hiyo Gideon Lufunyo alisema  tetemeko hilo limeleta madhara mkubwa ambayo yamewagusa n kwamba nia yao ni kuona shule kinaendelea na ratiba ya kawaida ili watoto wasikose elimu.

No comments: