Afisa masoko Platinum Credit
Tanzania, Gideon Lufunyo (kushoto) akikabidhi msaada wa mifuko 300 ya saruji
ambayo ni sawa na tani 15 kwa Mkuu wa mkoa Kagera, Salum Kijuu ikiwa ni msaada
wa taasisi hiyo kwa waathirika wa tetemekonla Ardhi mkoani humo.
Kampuni ya Platnum Credit
Tanzania Leo imekabidhi msaada wa mifuko 300 ya sumenti kwa mkuu wa mkoa wa
Bukoba Salum Kajuu kwa ajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi lililotokea
hivi karibuni.
Akizungumza wakati wa
kukabidhi msaada huo Jana ofisa masomo wa kampuni hiyo Gideon Lufunyo
alisema tetemeko hilo limeleta madhara
mkubwa ambayo yamewagusa n kwamba nia yao ni kuona shule kinaendelea na ratiba
ya kawaida ili watoto wasikose elimu.
No comments:
Post a Comment