Kauli hiyo imetolewa baada ya kubainika kuwa daktari huyo feki alifanikiwa kufanya upasuaji kwa wagojwa tisa ambao kati ya yao wanane walipona na mmoja ambae alikuwa mjamzito ndiye aliyepoteza maisha huku akifanikiwa kumuokoa mtoto aliyekuwemo tumboni mwa mjamzito huyo.
Tuesday, November 29, 2016
Daktari Feki Afanya Upasuaji Wagonjwa 9 na Kufariki Mmoja, Apewa Ofa ya Kujiendeleza Kielimu
Kauli hiyo imetolewa baada ya kubainika kuwa daktari huyo feki alifanikiwa kufanya upasuaji kwa wagojwa tisa ambao kati ya yao wanane walipona na mmoja ambae alikuwa mjamzito ndiye aliyepoteza maisha huku akifanikiwa kumuokoa mtoto aliyekuwemo tumboni mwa mjamzito huyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
2 comments:
wenzetu wanamuendeleza sisi tunawafunga ...hii ndiyo tofauti yetu....��
Ahukumiwe kwa kosa alilofanya hayo ya kujiendeleza ni baada ya hukumu Vipi Kesho mtu akiiba bank akaenda kujenga hospitali, je, utamfanya nini ? give him more money! !!
Post a Comment