Advertisements

Friday, November 4, 2016

Diaspora marufuku kumiliki ardhi nchini Tanzania


Tanzanians in the Diaspora continue to grapple with challenges that have seen most members either defrauded or lose confidence that they can actually invest in Tanzania and get good returns. But now our nightmares are on the Constitution and the support from the leaders. This makes the Tanzanians in the Diaspora to have to think twice on either to invest or even build homes for themselves or for their relatives in Tanzania.

About 90% of Tanzanians in the Diaspora are about to lose their hard earned money to the Government because of this proposed crackdown of the landownership proposed by the Minister for Lands, Housing and Human Settlement Development, Mr. William Vangimembe Lukuvi.

Tanzanians abroad are also troubled by these comments by the minister which go opposite to the efforts highlighted by the Diaspora Desk in Tanzania and by the Tanzania embassies all over the world in encouraging the Diaspora to invest and send money back home. This fear is acknowledged and should not be taken lightly. However, we also need to acknowledge that a good percentage of the money going to Tanzania is meant for food, but there are people who send their savings home; there are people who are investing in Tanzania in construction, business and other ventures.

While all previous leaders and embassies have been urging on the Diaspora to buy land and invest in Tanzania. It is now clearly that we Diaspora need to stop and make sure we protect our money until we understand these comments and the government plans toward the Diaspora.  My advice to my fellow Diaspora is to protect your retirement and saving money until we get a clarification from our government.

By Iddi Sandaly

66 comments:

Anonymous said...

Iddi! Thank you for highlighting this. You may recall our theme for the First Diaspora Homecoming Conference in 2014 was Connect, Engage, Inform & Invest. Our Motto for TDI is Nyumbani Ni Nyumbani. Nyumbani Is And Will Always Be Nyumbani. In Our Capacity As Your Foot Soldiers And Tanzania Diaspora Initiative Being The First And Only Private Sector Platform That Serves As A Soft Landing For And Between Tanzanians In Diaspora, Diaspora Returnees And The Government. We Have Taken The Matter To Heart And Are Currently In Pursuit of Points of Clarification. We Will Voice The Cause, The Impact Detrimental To All Contributing Efforts In National Development As Well As The Welfare And Being of The Diaspora And Their Dependent Families Back Home. What We Need Here Is More Ideas, Suggestions And Constructive Critique! For Years We Have Been Pushing For A Shift To Economic Diplomacy As Well As The Need For Our Diaspora To Not Necessarily Return Home But Invest Home, And Or Bring Investors And Their Investments Back Home. Via This Platform And Other Sources of Media Communication We Will Share Outcome of The Meetings And Results. Pole Kwetu Sote, May I Ask That We Maintain Though With Difficulty Calm As We Patiently Seek And Await For Clarity And Way Forward. Tusaidiane Kupeana Mawazo Yenye Tija Juu Ya Hili Swala Lakini Muhimu Zaidi Kusukuma Urasimishaji Wa Katiba Mpya...

Anonymous said...

Naishi Diaspora ingawa bado siyo raia. Hivi kweli kuwanyang'anya watanzania waliozaliwa nchi hii mali zao ni sahihi? Angalieni nchi nyingine za jirani zinavyofaidika na uraia wa nchi mbili jinsi zinavyopiga hatua. Nyumbani hakuna kazi leo watanzania wanajitahidi kwenda kutafuta maisha nje ya nchi kwa maendeleo ya nchi na ndugu zao walio Tanzania bado viongozi wa serikali wanawaonea wivu.....KWELI WASWAHILI WANA WIVU.....eti mnakula huku na huku. Kula gani huku na huku wakati watanzania wanaumia kufanya kazi kwa bidii kusapoti nchi na familia zao nchini? Hayo mabenki yataendelea kufa kwa kukosa pesa za mizunguko kwa ajili tu ya wivu wa Kiswahili kuwafanya watanzania walioko nje wasichukue uraia wa nchi nyingine ili wasipate advantages. Inasikitisha kuona bado viongozi wetu wana akili za mgando...Hivi nchi kama Marekani au Uingereza au Ufaransa na nyinginezo kuruhusu wananchi wa nchi nyingine wauchukue uraia wao walikosea???? Wao wangekuwa wa kwanza kukataa uraia wa pacha kutokana na rasilimali walizonazo nchini mwao, lakini wameruhusu watu wengine wauchukue uraia pacha.....HAWANA TATIZO. Tatizo bado nchi yetu inataka kuua system nzuri ya uwekezaji wa watanzania bila ya sababu zaidi ya wivu. Nina imani kwa jinsi serikali hii inavyofanya mambo yake baada ya muda maisha yatakuwa magumu kwa kila mtanzania kwa sababu mizunguko ya pesa itakuwa midogo na Diaspora wataogopa kuwekeza tena kwa kuhofia kupoteza mali zao.....Hivi huyu waziri na bosi wake Magufuli wanataka Watanzania zaidi ya milioni moja walio diaspora warudi watawapatia kazi? Kazi zenyewe zipo wapi uchumi wenyewe unayumba yumba.Siyo suala la ushabiki na kufurahia kuona ni sisi wenyewe katika zone hii ya Africa mashariki ambao hatukubaliani na uraia pacha bila sababu ya msingi.WIVU TU.

Anonymous said...

It is sad to here this but we all should have patience and have hope. For what I understand this is the matter of knowledge. We do have a lot of Universities back home but they do not keep up with the changing world. Leaders back home should learn from other countries and see what diaspora contribute economically. Looking back we still inherit leaders from back in the 70's and 80's, they still working for the benefit of their stomach and not for the country

Anonymous said...

From what I understood, the Minister said the Diaspora who are not allowed to own land in Tanzania are those who discarded their Tanzanian citizenship and are now citizens of other countries. May be the issue that people in Diaspora need to fight for is the recognition of dual citizenship, as other countries are doing.

Anonymous said...

Let's push for new/amendment of the Constitution

Anonymous said...

The comments from the anonymous respondent above should be re-written in simple understandable language. What are you saying? The comments by the Minister for Lands were alarming and unexpected, to say the least. We hope leaders of Diaspora Organizations can follow-up and share what is really happening. It's not a joke!!

Anonymous said...

Asante Iddi na mchangiaji. Muhimu SANA swala la katiba Mpya.. Na ndilo pia limeleta utata kwenye uchaguzi uliopita na mnaona kabisa nini kinachoendelea!! Savings for retirement is not a big issue!!.Labda Iddi kwa kuwa anahitaji wateja.
Kama ulifuatilia kauli ya mheshimiwa kuke Ziarani Kenya. Alisema waKenya wapatao elfu 50 ikiwa nchi ya kwanza Afrika kuwekeza Tanzania.!! Hawa hawa jirani zetu wana mpaka mashule ya Sekondari na mwaka juzi tulisikia mmoja akifutiwa shule kule kunakoitwa makao makuu!! Dodoma! (tunasubiria yawe) Hawa wenzetu sio wawekezaji tu wanaishi muda mrefu na wana miradi na majumba mengi kila kona. Leo iweje MTanzania aliyetoka nyumbani kutafuta na michango mingi misaada tunayotoa kwa taifa letu eti hawauhusiwi. Ina maana nilitoka nikiwa nimesharutubisha mji wangu na baadhi ya wanafamilia ndugu wanaishi leo sina haki huu ni utawala wa aina gani!. Mnalotakiwa kufanya wana Diaspora na Iddi ukiwa kiongozi mmojawapo ni kuunda kamati za uwakilishi kwa haya maswala. Wewe uliongoza jopo la waTanzania NURSE WANGU kuja kutoa huduma Tanzania bara na Zanzibar kwa mambo kama hayo na mengine mengi mnnayotoa. Mheshiwa Lukuvi Kauli za aina hii zinatupeleka wapi mbona CCM mnatuharibia nchi hii ya asali!
Ninyi wana Diaspora na uongozi mzima wa Dicota acheni kufanya yasiyo na msimgi na niwakati wa kurejea kwenye ajenda muhimu sana. Pia mna uwakilishi Ubalozi wetu wa Tanzania balozi hili nalo analiona la kawaida au naye ameduwazwa!? Hasikiki kabisa kama waliopita!? Kazi kweli!
Je yale aliyowaambieni mheshimiwa Itta alipokuja Amerika kabla ya uchaguzi kuwa Mtanzania yeyote anaishi nje akija nyumbani anaruhusiwa kuwekeza kufanya na atapewa kitambulisho maalumu kumuwezesha. Kadhawakadha. Au ilikuwa jeuri yake kutafuta kiki ya kuteuliwa mgombea?! Unajua acheni lelemama huko ughaibuni wekeni mawazo sio.kula nyama choma Swahili tuuh na bisherehe uchwara.! Mnapiga boxi sio kazi ndogo. Kiki nyingine hazina msingi.
Kwako Mheshimiwa LUKUVI kauli yako hata kwa sisi wanandugu hapa nyumbani inatutiwa wasiwasi na hatuiamini hii serikali yako kwani huko tulikotoka haya mambo yalikuwaje mnapokea tu hebu wasiliana na wataalamu wa fedha na Western Union,Mpesa na bemki wakueleze waTanzania walioko nje wametuma fedha kiasi gani nyumbani kusaidia wanafamilia na ndugu hasa kwa swala.la elimi kwa watoto wao ndugu# ndipo urekebishe kauli yako.kwa waTanzania walioko nje.!! Ni maajabu na majanga. Pull up.yr sockcy guys!
Mstaafu Kikwete alikuwa anakuja kila mwezi lakini bado.mlipwaya na aliwaambieni changamkeni acheni maneno. Sasa mnaye Juma Ponda Mali!!!!???@&&

Anonymous said...

Ushauri wangu kwa bwana Iddi na Diaspora kwa ujumla issue kama hii na umuhimu wake tupende kuxiandika kwa kiswahil kwani kuna wengi wanasoma na wanauwezo wa kutusaidia bila kujali elimu zao. Sote tumeathirika ila kiswahili ndo lugha mama mie nashauri tu

Anonymous said...

Nawaomba viongozi wa Tanzania watambue kwamba wenzetu wazungu, wahindi, wachina, n.k., ambao wamepewa uraia hapo Tanzania, huko kwao walikotoka nchi zao zinaendelea kuwapatia haki zote kwa asilimia mia moja.

Kama nchi yetu ya Tanzania inatoa uraia kwa watu wa nchi nyingine, ambapo hao watu wanaopewa uraia wa Tanzania wanaendelea kuwa na haki zote kwenye nchi zao walikotoka, inakuwaje viongozi wa taifa letu washindwe kuona umuhimu wa kulinda haki za watanzania ambao wapo nchi za nje????

Kwa kweli dunia nzima inatucheka. Inasikitisha mno kuona kwamba viongozi wetu wanafanya kila juhudi kuwanyanyasa watanzania wenzao.

Anonymous said...

Kiswahili please otherwise watu Tanzania hawasomi average ya watu home hawajui kumungunya

Anonymous said...

Raisi Kikwete alikuja hapa Edmonton, Canada, na katika mkutano wake na Watanzania alihimiza kwamba, tununue ardhi nyumbani na tujenge makazi yetu nyumbani na wala tusisubiri mpaka sheria ya uraia pacha ikamilike. Kwa maneno yake alisema nyumbani ni nyumbani, na ninyi ni watanzania wenzetu hakuna serikali itakayowanyanyasa. Akasema Mwisho wa siku sheria itabadilika kulinda haki za watu wote wenye asili ya kitanzania ambao wanaishi nje.

Tunaomba tu serikali ya sasa itafakari kwa makini kulinda haki za watanzania ambao wanaishi nje, pamoja na kwamba sheria bado hazijabadilika. Sheria zetu nyingi zimepitwa na wakati. Tunaomba serikali iende polepole wavute subira kuruhusu muda wa katiba na sheria kurekebishwa.

Anonymous said...

Hivi serikali yetu haijui jinsi tunavyoteseka huku ugaibuni? kupata kwetu uraia wa nchi nyingine ni kurahishisha maisha yetu sio kwa kukimbia nchi yetu. Mimi naona kumbe hata Tanzania kuna Mr Trump.

Anonymous said...

Hiyo sheria imekuwepo kwa mda mrefu, hata wakati Mafuguli akiwa waziri wa aridhi na nyumba, aliikuta na aka_iacha.
Swali ni why they want to implement it now.?

Anonymous said...

Solution is dua citizenship, ambayo ccm hawaitaki.
They started na wafanyabiashara wa sukari sasa ni zamu diaspora then who be next.

Anonymous said...

All E.African community members Kenya, Uganda, Rwanda and Burundi have dual citizenship except Tanzania.
Kwetu sisi kilakitu ni nongwa.

Anonymous said...

waziri wa ardhi acha jazba ! diaspora ni wakati sasa watambulike na

umuhimu wao muuthamini ! Uraia ni karatasitu , lakini Utaifa hauwezi kufutika ! kama sikosei serikali ya awamu iliyopita , iliwagawia uraia wa Tanzania ,wakimbizi wa Burundi 30,000 au zaidi ( mwenye kumbukumbu nzuri atanirekebisha ) ! huu ni wakati wakila diaspora kujua kua !, hili ni tatizo na nitatizo kubwa za?idi ya sisi wenyewe diaspora tunavyo liona ! kawa wali wezakuwapa akimbizi uraia ana shindwa nini kwa watanzania wa?zawa wanao saidia familia zao ?

Anonymous said...

This article is wrong, The minister was focusing on those Tanzanian took citizenship of other country. All Diaspora should be aware of this law once you become a citizen of other country you need to surrender your Tanzanian Passport. But, in the past nobody care about this, you can go to Tanzania with your foreign Passport and leave without an immigration officer to order you to surrender your Tanzanian Passport. This JPM Government in NOT business as usual, Government officials are paying attention on small details like that to protect their jobs.Diaspora should weigh for themselves if becoming citizen of other country will be more beneficial to them, otherwise they should keep their Tanzanian citizenship. For example for those residing in USA Green Card is more than enough unless you want to vote, you can live comfortably for years with Green Card. For those who became citizen of other country you can assign your mother's name on your investment (only mom) but if your mom is not alive don't bother to use other relatives to take care of your investments back home, you will greatly regret.

Anonymous said...

Tayari ndani ya mwaka mmoja amejitengenezea maadui wenge tu wa ndani , sasa ana taka kujiongezea wengine wa nje. Na wote ni wabongo. Some laws instead of implementing them it wise to be advocates of trying to change them. Kama alivyo jaribu kijana wetu Bernard Membe juu ya swala la uraia pacha.

Anonymous said...

To anonymous 3:12AM,I want you to know kuwa USA Green Card IS NOT MORE THAN ENOUGH for some of us. For the type of job I do, US CITIZENSHIP is a requirement. So you mean to tell me I give up my American dream and good pay just because my birth country doesn't want me to own land if am not a Tanzania citizen? From now on I will invest all my money here in US,buy & build properties here, sell my properties in TZ and seize all my wire transfers to TZ plus close my bank accounts there. They can keep nchi yao, ardhi yao na uraia wao, we good over here. Kweli kwenye miti hakuna wajenzi, wake up viongozi wa Tanzania

Anonymous said...

I am with you, we are not so desperate na bongo yao.They hate us because we refused to worship them.

Anonymous said...

hiyo ndio sheria ya nchi inavyosema .sasa unataka wafute sheria kwa ajili yako..hata marekani unafuata sheria zinazogovern nchi na sio za tanzania. kila nchi inasheria zake ..kama unataka kumiliki ardhi bongo lazima uwe citizen wa bongo au chukua land iliyotengwa for investors. mimi diaspora( u.s) pia .

Anonymous said...

Ministry language is inappropriate "kujilipua" that street language, and Tanzania Government should stop considering diaspora choose to acquire foreign citizenship as enemy of the state ( Tz) . Become foreign citizenship its not espionage act but just documentation as way to successes abroad and access equal opportunity abroad. Thinks ministry statement is unprofessional and unacceptable in this modern age.

Anonymous said...

Kudai haki zetu kupitia constitution amendment itakuwa ni ndoto kwani issue ya constitution amendment inachukuliwa kisiasa na inaonekana kama ni hoja ya wapinzani. The best way to go in my opinion kwa sasa ni ku-push for hoja ya special consideration kama ilivyopendekezwa awali.Sioni swala la constitution amendment likipewa nafasi katika miaka 10 ijayo na hatuna miaka 10 ya kusubiri wakati asset zetu zimewekwa sokoni.

Anonymous said...

Jambo lingine viongozi wetu wanashindwa kulielewa nikuwa kuwa naturalized citizen wa nchi nyingine haikuondolei asili yako.Ndio maana mtu hutambulika kama ie "Mtanzania mwenye asili ya Pakistan, India etc.or Mwingereza mwenye asili ya Kenya.Wakati wowote lakutokea limetokea the host country wanaweza kukuondolea uraia huo.
Jambo kingine waziri amapaswa kutolea ufafanuzi wa mali walizokuwa nazo diaspora kabla ya kuchukua uraia wa nchi nyingine.

Anonymous said...

HII NI AINA MPYA YA AZIMIO LA ARUSHA, MALI ZA WATANZANIA ASILIA KUPOKWA NA SERIKALI !!

Anonymous said...

Mdau Anonymous.November4,2016 at 2:11PM
Hakuna anaekataa kuwa sheria ya sasa ndivyo iinavyosema. Lakini sheria hii na baadhi nyinginezo zimepitwa na wakati na zinahitaji serious amendment kuendana na wakati. Chakusikitisha zaidi ni kuwa wakati serikali inatumia kila njia kuchelewesha utekelezaji wa zoezi la constitution amendment inakimbilia ku confiscate mali za watanzania hawa.

Anonymous said...

Wonders will never end na viongozi wetu. Wakati Lukuvi akiwa waziri wa ardhi alituletea delegation ya watu wa NHC akina Msechu and the like kuja kutu convince tununue nyumba za National Housing. Je,ni kwamba amesahau au alitegemea tununue then ataifishe?

Unknown said...

This is about social injustice. Tumenyanganywa haki ya kuzaliwa sasa na mali zetu tunanyanganywa? I feel uchungu sana. Wakuu mkiugua mnakimbila kutibiwa na kutunzwa ughaibuni, mnasau wanaowasaidia ni sisi tulioko huku. Mkiwa wageni mnatutafuta tuwasaidie. Lakini haki zetu mnazilalia? Ni aibu iliyoje? Ni laana kabisa.

Anonymous said...

Mdau umeandika vema.Lakini kumbuka kuwa Green card au residence permit ina limitations zake na kwa mtu ambae yuko serious kufanya investment of any sort nyumbani atajikuta anaingia kwenye risk ya ku loose either his/her resistance privilege or investment. Mifano hai iko mingi.
Lakini vilex2 unapoongelea serikali ya Magufuli kufuata sheria ni lazima ifahamike kuwa accountability is a two way street. Kwa viongozi, wananchi na serikali vilex2 iko accountable kwa wananchi wake.na kwa serikali iliyo makini husimamia ahadi na kauli zake.Serikali iliahidi kuwapa diaspora special consideration na hata waziri mkuu alioko madarakani hivi sasa alinukuriwa katika wakati tofauti akisema vibali hivyo vya diaspora viko tayari.Mpaka leo hii none of them amebahatika kuvipata.Na kwa diaspora kupitia vibali hivyo wangeweza kupata nafasi ya kuwekeza na kujenga nyumbani.
Ni vema hizi wizara zika coordinate na kuwa na kauli inayotoa mwelekeo wa serikali ya awamu ya 5 otherwise itakuwa ni virugu pale "the head doesn't know what the tail is doing"
Ministry of foreign Affairs inasema lake, Prime minister kivyake na huku ardi kivyao.

Anonymous said...

Look here, I hold a US citizenship but a Tanzanian by birth. I may have differences with the policy under discussion but I believe our deliberations here can be respectful: "I am with you, we are not so desperate na bongo yao. They hate us because we refused to worship them." How can such outrageous claims pass without objection.

Nchi bado ni yetu. Diferrences can be ironed out by discussions. If anything those of us in the US that is what we have learnt and can be proud about. Kutukana haisaidii. Lets conduct a civil discussion na kuwapuuza wanaotaka kuingiza uhuni in a matter deserving serious discussion.

Anonymous said...

Mimi nahisi Lukuvi haijui Tanzania.
Mimi ni Mchaga wa Moshi. Nina ardhi nimerithi kwa Marehemu yangu ekari 8. Na nina kiwanja kwa jina langu pale Moshi mjini tangia mwaka 1970. Na nimejenga hapo nyumba ya zaidi ya SHILLING MILIONI 500. Sasa nimpe Lukuvi?
Mimi ni Raia wa Canada. Na passport ya Tanzania bado ninayoiliyoisha muda wake bado ninayo. Ubalozi wa Tanzania Canada walikataa kuongeza muda au kunipa mpya. Kwa hiyo wakanirudishia passport yangu ya Tanzania bila kuifanyia chochote. Bado ninayo. Sasa naona hope ya kupata passport ya Tanzania mpya ni ndoto. Lakini Lukuvi ajue kuwa kule kijinini kwangu nilikozaliwa nina ardhi na hata akitumia catapila huwezi kunitoa kule.

Anonymous said...

Mimi ni MTANZANIA BY BIRTH and no one can take this status away from me. Kule kijijini kwangu nina ardhi ekari 4. Hii ardhi ni yangu na siyo ya Lukuvi. Nikienda likizo toka Canada nakwenda kwenye ardhi yangu kijijini. And I will retire in my village. Lukuvi hawezi kunitoa kule!
Green Card (for USA) and Permanent Resident (Canada) is not enough to get a good secure job. I work for the Canadian Government and I must be Canadian Citizen. Bado nina passport ya Tanzania iliyoisha muda wake. Technically I still a Tanzanian by BIRTH and not on PAPER.
I will retire as a Tanzanian and live in my village as a Tanzania.
Lukuvi is shocking me kwa sababu kila kiongozi wa Tanzania niliye kutana naye hapa Ottawa "wananiimbia" niwekeze nyumbani. Now the government is making a "U-TURN" ,,, IT IS PRETTY SAD!!!

Anonymous said...

Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi wanaruhusu uraia pacha. Tanzania bado tupo nyuma sana sana, na bado viongozi wetu hawajatambua kwamba tupo nyuma na tunaendelea kuachwa kwa kasi. Watanzania wanaoishi nje ni rasilimali muhimu sana kwa taifa letu. Lakini viongozi wa Tanzania hawaoni hili. Inasikitisha sana sana. Hao wakimbizi wa Rwanda na Burundi waliopewa uraia hapo Tanzania, kule nchini kwao wana haki zote za kiraia, kwa maana wao hawapotezi uraia wao. Wazungu wote wanaopewa uraia hapo Tanzania, huko nchini kwao walikotoka wana haki zote za kiraia.

Tunaomba viongozi wa Tanzania watafakari kwa makini sana waone muelekeo wa dunia. Vinginevyo tutaishia kuwakandamiza na kuwanyanyasa watanzania wa kuzaliwa wakati tunawafaidisha wageni wanaopewa uraia hapo Tanzania.

Anonymous said...

I think this government is lost.
They should focus on more pressing issues like EDUCATION, HEALTH, INFRACTURE, POVERTY....
The government should focus on making sure the our kids get their student loans, medicine in hospitals and things like that. Wakulima na Wafugaji wanapigana ,,, these are the things he should focus on not my KIHAMBA GIVE TO ME BY MY CUSTOMARY LWAS!
Leave the Diaspora alone,,,we are supporting the economy in many ways.
I sent an average of $6,000 per month to support my family in the village. Lukuvi does not UNDERSTAND TANZANIA. He understand that he is a minister and that's it. He knows nothing beyond that.

Anonymous said...

Ndugu zetu wanaotuzunguka, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi wanaruhusu uraia pacha. Tanzania ina matatizo gani?????

Anonymous said...

Waziri mkuu wa India akija Tanzania anakutana na watanzania wenye asili ya India, tena wengi wao wamezaliwa hapo hapo Tanzania na ni raia wa Tanzania. Je viongozi wetu wa Tanzania wameshajiuliza ni kwanini waziri mkuu wa India akutane na wahindi raia wa Tanzania???? Hii inaonyesha uzito wa utaifa wa asili kulinganisha na uraia wa karatasi. Viongozi wa Tanzania inabidi waelewe kwamba watanzania wa asili utaifa wetu ni Tanzania hata kama tunaishi nchi nyingine.

Anonymous said...

Serikalli haiwezi kutekeleza hii sheria, naamini waziri Lukuvi alitamka haya bila kuelewa uzito wake. Kwanza kabisa maisha yetu sisi waafrika ni complex.

Mfano, unaishi nje ya nchi na una uraia wa nje, wewe ndio kiongozi kwenye familia, unasomesha watoto wa ndugu zako Tanzania, umejenga nyumba Dar na Arusha, nyumba moja umepangisha nyingine wanaishi ndugu, una ardhi ya urithi kijijini na umejenga kule na umejengea wazazi wako, na kwa desturi ya asili ya mila nyingi za kiafrika, una nyumba ndogo Dar na watoto wapo........

Sasa, kuna sheria gani inaweza kutumika kutatua haya. Unataka kuniambia serikali itathubutu kujiingiza kwenye huu mlolongo na kuwaumiza hii jamii yote ya wanafamilia?. Na je unafikiri hawa wanafamilia wote watakubali kuona ndugu yao ambaye ndio nguzo kuu ya familia ananyang'anywa mali zake?? Huu ndio mwanzo wa kuharibu amani na utulivu.

Anonymous said...

Anonymous at 4:06. kwa hiyo unakubali sheria ziko kwenye vitabu. Sasa kosa lao ni lipi ? wao wanaenforce sheria zilizokuwepo. Nakubaliana na wewe inabidi waangalie suala la katiba upya.My only beef kwenye hili ni pale wanapick and choose nani waenforce sheria hizo. kama wanaenforce inabidi wafanye across the board. kingine kinanisikitisha utakuta tz govt wanachukua ardhi za watu halafu hao watu hawapewi due process.

Anonymous said...

Nyakati zimekwishabadilika. Watanzania tumeshasambaa duniani. Enzi za waziri kutamka vitisho na kunyanganya mali za watu zimeshapita. Hii sheria haitekelezeki. Hii Ni sheria ya kale na ilishapitwa na wakati. Ushauri wangu kwa wanadiaspora, msiwe na wasiwasi wowote ule. Hakikisha tu unawaambia ndugu zako kule Tanzania wawe imara kusimamia mali zako na kuzilinda, kwa maana zile sio mali zako tu bali ni mali za familia yenu. Mila zetu sisi waafrika watoto wa ndugu yako ni watoto wako. Mali zako unazitumia kusaidia ndugu kuliko hata unavyosaidia familia yako binafsi.

Kwani serikali ikitunyanganya hizo plot zetu na hizo nyumba zetu, watazipeleka wapi?? Na serkali itawaambia nini hao ndugu zetu, ambao ndio wanaishi kwenye hizo nyumba, na hizo nyumba ndio zinasomesha watoto wa ndugu na jamaa??

Msiwe na wasiwasi wowote. Enzi za azimio la Arusha zilishapita. Hii sheria HAITEKELEZEKI!!!!

Anonymous said...

Solution ni Uraia pacha or to change hizo outdated laws .Hiyo Sheria imekuwepo tokea Mafuguli akiwa Waziri wa aridhi na hakudhubutu kuitekeleza.Alijuwa imepitwa na Wakati.

Anonymous said...

Mdau umesema vizuri. Hii sheria haitekelezeki. Hata waziri Lukuvi afanye nini, hii ni sheria iliyokufa. Watanzania tunaoishi nje ni ndugu wa watanzania wanaoishi nchini. Serikali ikitunyanyasa inawanyanyasa pia ndugu zetu watanzania wanaishi nchini. Hapa hakuna ujanja, serikali ikubali bado tunaishi na sheria ambazo hazitekelezeki zimepitwa na wakati. Ni lazima serikali irudi bungeni kupata marekebisho ya sheria. Vinginevyo, ni vurugu na upotevu wa amani.

Anonymous said...

Ndugu zangu, mimi ni mhindi, nimezaliwa Tanzania sasa hivi ninaishi Canada na ni raia wa Canada. Wazazi wangu walizaliwa Tanzania kwa kizazi cha pili. Mimi sijawahi kwenda India, hata naongea kiswahili zaidi kuliko kihindi. Kuna msomaji ameongelea kuhusu utaifa wa asili. Kwa kusema ukweli, pamoja na kwamba sijawahi wala kufika India lakini utaifa wangu ninaouthamini sana ni utaifa wangu wa asili ya India. Mimi ni mhindi na ninajiwakilisha kama mhindi, kwa heshima zote za India. Serikali ya India imenipa haki kama mtu mwenye asili ya India. Tanzania inachukua nafasi ya pili kwenye maisha yangu kwa sababu tu nilizaliwa kule, na Canada ni mahali tu pa kuishi. Ndugu zangu watanzania ninaomba mheshimuni asili yenu.

Anonymous said...

Niwazi kuwa jambo hili ni zito na linagusa watu wengi hivyo ni vema tukajadili the way foward kwani kuishi kwa assumption kuwa sheria haitekelezeki itakuwa ni kujidanganya kwani ndio sheria iliopo mpaka pale itakapo badilishwa na bunge.
Meanwhile nadhani kupitia viongozi wetu wa jumuia mbalimbali tungeomba waandae formal enquiry kwenda serikalini ili itoe kauli yake kuhusiana na diaspora hasa katika area za uwekezaji na umiliki wa ardhi. Na majibu hayo ya serikali yawekwe wazi kwakila mtu aweze kuyaona,otherwise tutaendelea kulalama humu na in a month time something else will come out na hoja hii ikasahaulika.

Anonymous said...

Please Mr.Bandio andaa kipindi maalum ukishirikisha wawakilishi wa Serikali ili waweze kutoa mwelekeo na msimamo wa Serikali kuhusiana na issue hii.

Anonymous said...

Tusipoangalia watatukataa hata kuzikwa kwetu , kwenye uzawa wetu na mababu zetu yaani kweli imefikia kuahivi !

Anonymous said...

THEY WANT TO IMPLEMENT IT NOW BECAUSE OF THE THIRD WORLD WAR WW3 COMING SOON!AMERICA HAS REACHED ITS PEAK AND IT'S ECONOMY HAS BEEN SHAKING EVER SINCE 9/11 AND NOW OVER HERE IN AMERICA THERE IS A MAJOR PREPARATIONS FOR UP COMING WAR WHICH WILL INVOLVE IRAN AND RUSSIA,AMERICA IS NOT GOING TO MAKE IT THIS TIME,CAUSE THERE IS ALREADY SO MUCH INTERNAL CONFLICTS LIKE RACE WARS etc AMERICA IS ALREADY BROKEN AND ANYTHING CATASTROPHIC IT BEING WAR(INTERNAL OR OUT) OR NATURAL DISASTERS WILL LEAD INTO A FINANCIAL COLLAPSE AND THIS WILL AFFECT THE WHOLE WORLD FOR A TIME!AND THAT'S WHAT WE ARE SEING NOW IN AMERICA,BUT OUR SMALL GOVERNMENT IN TANZANIA HAS BEEN BRIEFED ABOUT THIS AND THEY KNOW MOST OF US 95% WATANZANIA TULIOKO NCHI ZA NJE TULIO GIVE UP OUR CITIZENSHIP,WILL NEVER MAKE IT BACK HOME ALIVE!INFACT WHY DONT YOU CALL US "MAREHEMUZ" ALREADY HUH?NDIO MAANA SERIKALI IMEAMUA KUANZA KUJIRITHISHA MALI ZETU HUKO NYUMBANI,SABABU YA HIZO UP COMING INTERNATIONAL CONFLICTS WW3 NA KUWA TULIO GIVE URAIA 95% TUTAZUILIWA KUKIMBILIA BACK TO OUR COUNTRIES OF ORIGIN KWA MUJIBU WA SHERIA ZA HIZI NCHI HUKU UGHAIBUNI.NDIO MAANA HATA VITAMHILISHO TUU VYA KUTU IDENTIFY WAMEKATAA KU ISSUE!!!SABABU WE ARE "DEAD MAN WALKING"IT'S JUST A MATTER OF TIME FROM NOW....

Anonymous said...

Tanzania ina makabila zaidi ya 122 lakini haina ukabila kama majirani zetu. Lakini ndani ya makabila yote kuna MILA NA DESTURI ambazo pamoja na mambo mengine zina zungumzia pia ARDHI. Marehemu Baba yangu aliniachia shamba la ekari 35 na ziko kwa jina langu MIMI!!! Bado ninalo na nimeliendeleza sana tu. Ndugu zangu wanalitegemea sana hili shamba maana lina miradi kadhaa. Sasa kama Mheshimiwa Lukuvi anataka kulichukua atakuwa amenunua kesi. Namtakia kile heri!
Mimi ni MTANZANIA WA KUZALIWA na nina uraia wa karatasi wa Canada. Na naenda NYUMBANI kila mwaka na naomba visa. Passport ile ya GANDA NGUMU bado ninayo. Kitu kinachotakiwa hata ni serikali kutambua kuwa ASILI YA MTU HAIBADILISHWI KWA KARATASI YEYOTE AU JUKWAA LOLOTE.
Mimi ni Mtanzania wa kuzaliwa na nitaendelea kuwa Mtanzania wa kuzaliwa. Na nitaishi kwenye shamba langu ,,,, kama Lukuvi ana ubavu wa kunitoa aje anitoe.
Lakini kuondoa utata wote huu URAI PACHA ni muhimu na kama hii ni ngumu sana inahitaji mtalimbo watupe ile "HADHI MAALUM" aliyosema Mheshimiwa Sitta.

Anonymous said...

Mbona mnatoa mapovu hivyo.... kwanza kabla hujatoa maoni yako elewa nini maana ya diaspora. Diaspora ni jumuiya ya jamii fulani ya kundinla watu wanaoishi sehemu nyingine mbai na asiki ya eneo lao kuendeleza utamaduni wao na sio kuwa raia wa nchi nyingine. Tanzania hatuna raia pacha, na katiba io wazi kabisa kwamba "raia wa nchi nyinggine hawezi kumiliki ardhi nchini tanzania". Sasa kama wewe umeamua kuukana utanzania na kuchukua uraia wa nchi ingine usilalamike kwamba serikai inatuonea. Sheria iko wazi na kila mtanzania inabidi alijue hilo. Cha msingi hapa sio kulaumu serikai pale ambavyo wanafuata sheria ya nchi. Cha msingi hapa ni kuangalia uwezekano wa raia pacha

Anonymous said...

Wataalamu wa DESKI LA DIASPORA pale "FORENI" kama mpo kwenye huu mtandao hebu tufafanulieni Mheshimiwa Waziri Lukuvi ana maana gani kwenye hili "TANGAZO" lake kuhusu Diaspora.
Ishu ya ardhi ni very sensitive kwenye nchi yeyote. Kwa mfano, ugomvi wa Wapelestina na Wayahudi ambao umedumu to Enzi za Yesu ni kuhusu ardhi tu! Hakuna chengine ,,, ni ardhi tu!,,, and there is no end in sight.

Natanguliza shukrani!

Anonymous said...

Mdau,Serikali haitaki kusikia issue ya uraia pacha (ref: bunge la katiba).somehow kuna baadhi ya wanasiasa for their own benefits au woga wao wamefanikiwa kupandikiza fikra zao ndani ya jamii to the extent sasa diaspora anaonekana kama mhahini na kuuaminisha uma kuwa uraia pacha kwa Tanzania tu utahatarisha usalama wa taifa.Hivyo basi serikali ikatoa ahadi ya kutoa special consideration kwa diaspora ili waweze kufanya uwekezaji, kumiliki ardhi kama raia mwingine yoyote.Cha kushangaza ni kuwa wakati diaspora ikisubiri hilo ndio haya ya Lukuvi yanajitokeza.Hivyo uraia pacha kwa Tanzania si jambo la kufikiria kwa sasa mpaka kizazi cha akina Lukuvi kiondoke.Cha kupigania hapa ni hati maalum itakayo mtambua mtanzania asilia na kumpa haki zake kama serikali ilivyoahidi.

Anonymous said...

Kuna Mdau amesema hapo juu kuwa "Mbona mnatoa mapovu hivyo"....
Nafikiri haelewi maana ya URAIA.
Katika uraia,kuna aina MBILI ZA URAI. URAIA WA KUZALIWA NA URAIA WA KUANDIKISHWA. Wakimbizi 30,000 waliopewa uraia wa Tanzania hao ni wakuandikishwa. Na kabla ya kupewa huo uraia wa Tanzania hawakuambiwa kuwa "kaneni uraia wa nchi yao ya asili". Bado ni raia wa nchi yao ya asili.
Likewise, mimi nilipopewa uraia wa Canada sikuambiwa niukane uraia wa Tanzania kwanza. Kilishotokea ni kuwa NIMENYANG'ANYWA URAIA WA TANZANIA BY DEFAULT. SIJAWAHI KUUKANA URAIA WA TANZANIA HATA SIKU MOJA. NI SHERIA IMENINYANG'ANYA URAIA WANGU BY DEFAULT. THAT IS FINE.
BUT,,, sheria zinabadilishwa kuendana na wakati ..."REPEAL-AND-RPLACE" ,,, NDO KAZI YA BUNGE LETU HII. Kutunga sheria na kubadili sheria. Diaspora was not an issue a few years ago. Now the world is changing. Ndo maana Draft ya "KATIBA YA WARIOBA WALILIONA HILO.
Hakuna mtu duniani hapa mwenye ubavu wa kuniambia kuwa ile ardhi niliyorithi toka kwa marehemu Baba yangu siyo yangu tena. hakuna mtu mwenye huo. This is one of the reason to amend the law. Tangazo alilotoa Mheshimiwa waziri Lukuvi halitekelezeki kwa RAIA WA ASILI.
Kwa raia wa kuandikishwa is possible.
Draft ya kwanza ya Mswada wa Habari ulikuwa na mapungufu mengi kiasi cha kuligawa bunge. But they came to a middle ground ukapita. Hiyo ndio kazi bunge,,,, kupitia sheria zilizopo na kufanya marekebisho pale inapobidi kulingana na wakati.
I would like to advise the Tanzania Government one thing: THE WORLD IS CHANGING ... YOU BETTER CHANGE WITH IT ...! AZIMIO LA ARUSHA LIMEKUFA NA HATA KABURI LAKE HALIJULIKANI LILIPO. Tulitaifisha MABENKI ,,, MAJUMBA ,,, n.k. ,,, no more,,,things have changed with time...!! IT IS TIME TO CHANGE!!!

Anonymous said...

Of course, ambao mnajiita diaspora hamjui maana yake nini? !! Huwezi kuwa raia wa nchi ingine halafu ujiite diaspora. Doesn't make sense at all. Watu ambao tuko ughaibuni ni zaidi ya 1.2 million, wangapi walitoa maoni ktk tume ya warioba. Ngoja nikusaidie ni watu 92 tu!!! Sasa wewe unayejiita diaspora hata umuhimu wa maoni ktk tume ya warioba hukuona umuhimu sasa serikali inaenfirce law mnaanza kutoa mapovu. Nyinyi wenyewe mjiangusha, mmeshindwa kutoa maoni yenu hata 1/16 ya diaspora hamjatoa maoni halafu mnalalika wabunge hawajatetea issue ya uraia pacha. Wabunge hawana maslahi na raia pacha, yeye diaspora ndio mnalo jukumu la kutetea na kusign petition. Ushauri wangu wa bure kwa wanadiaspora anzisheni petition atleast 1.5 million msaini halafu uone kama waziri wa mambo ya nje hakupeleka huo muswada bungeni wakaammend katiba, acha kulalamika tafuta solutions.

Anonymous said...

Diaspora kweli imejaa mabomu. Basi kaeni huko mlipo kama mmejaa hasira na matusi hivo hata sioni mngeisaidia vipi Tanzania. Kuna neno la kiingereza linaitwa "moon heads" naomba mlitizame maaana yake hasa kwenye urban dictionary. Wengi wetu ni mamoonheads ambao nadhani ni bahati kwa Tanzania kwamba hamuishi nchini kwetu.

Annony Muhindi alisema kitu cha maana naomba mrejee alichosema. Namnukuu


Ndugu zangu, mimi ni mhindi, nimezaliwa Tanzania sasa hivi ninaishi Canada na ni raia wa Canada. Wazazi wangu walizaliwa Tanzania kwa kizazi cha pili. Mimi sijawahi kwenda India, hata naongea kiswahili zaidi kuliko kihindi. Kuna msomaji ameongelea kuhusu utaifa wa asili. Kwa kusema ukweli, pamoja na kwamba sijawahi wala kufika India lakini utaifa wangu ninaouthamini sana ni utaifa wangu wa asili ya India. Mimi ni mhindi na ninajiwakilisha kama mhindi, kwa heshima zote za India. Serikali ya India imenipa haki kama mtu mwenye asili ya India. Tanzania inachukua nafasi ya pili kwenye maisha yangu kwa sababu tu nilizaliwa kule, na Canada ni mahali tu pa kuishi. Ndugu zangu watanzania ninaomba mheshimuni asili yenu.

Anonymous said...

Remember what Hillary Clinton said about her mother's counsel: Anger in not a plan and f action! Hapa naona zimejaa hasira na matusi tu. That is surely no plan of action!

Anonymous said...

Wangapi hawa wamejenga kwao? Nyumba na mali walizonazo nchini zi wapi? Hebu waache kufoka na watulie kidogo hawa maskini wenzangu mimi!

Anonymous said...

Hawa wenzangu wanadhani Mhe. Trump ndiye anatuthamini zaidi na kutuhitaji sana! Sijui wanaishi dunia gani? Kwenu kwenu tu ndugu zangu.

Anonymous said...

SHERIA YA URAIA kama sikosei imetungwa mwaka 1961, mara tu baada ya UHURU. Sheria hii haijawahi kufanyiwa merekebisho toka 1961.
Mambo mengi na mabadiliko mengi yametokea Tanzania na kulazimu pia sheria zingine zibadilishwe au kuboreshwa. SHERIA YA URAIA HAIJAWAHI KUGUSWA.
Diaspora community hatuwezi kuishauri serikali ya Tanzania kuifanyia marekebisho sharia hii kwa PETITION. Tuunde chombo chetu cha kupigania haki zetu na tukitume chombo hiki serikali ya Tanzania kutuwakilisha na activities za chombo ziwe documented na kiwe na uhusiano wa karibu na media ndani ya Tanzania na nje.
Of course kutakuwa na financial implications,,, and we MUST be ready for that.
Sheria hii ya URAIA ya mwaka 1961 inazungumzia pamoja na mambo mengine,,, "....RAIA WA KUZALIWA...". Sisi bado ni RAIA WA TANZANIA WA KUZALIWA. Hii haiwezi kufutika milele. Our urguments should, among other things, be based on this!
MUNGU IBARIKI TANZANIA!

Anonymous said...

ANON November 7, 2016 at 11:36 AM

Said, "RAIA WA KUZALIWA...". Sisi bado ni RAIA WA TANZANIA WA KUZALIWA. Hii haiwezi kufutika milele. Our urguments should, among other things, be based on this!
MUNGU IBARIKI TANZANIA!"


This is the sensible and reasonable approach we need to have. Sio kutukana tu. Tusiwaruhusu wale ambao hata Donald Trump hawataki kuendesha mjadala huu. At the end of the day naamini Serikali bado ipo open to a discussion. Tujipange na tuwe na hoja.

Anonymous said...

There is a paragraph in the Current Constitution which in some way appears to protect he Diaspora:
CHAPTER ONE, PART 1: Para 5 (2): Parliament may enact a law imposing conditions restricting a citizen from exercising the right to vote by reason of any of the following grounds:
(a) being a citizen of another state;
(b) being mentally infirm;
(c) being convicted of certain specified criminal offences; or
The key word here is: "RESTRICTING A CITIZEN". Which means RAIA ANAKUWA RESTRICTED kufanya mambo Fulani ,,, lakini kwa kifungu hiki anabaki kuwa RAIA ila amezuiwa kufanya vitu Fulani!!
Hii SHARIA YA URAIA YA MWAKA 1961 may have violated our rights to remain a CITIZEN although tuna uraia wa nchi nyengine!

PART III of the Constitution, PARA 17:
17.-(1) Every citizen of the United Republic has the right to freedom of movement in the United Republic and the right to live in any part of the United Republic, to leave and enter the country, and the right not to be forced to leave or be expelled from the United Republic.
Again the paragraph somehow protects Diaspora if we can come up with a strong argument. Since by taking a citizen of another country you by default lose the Tanzania citizenship. Technically you have been expelled from the United Republic. Sheria ya Uraia did not interpret this Paragraph properly,,, after all hii sheria ni ya mwaka 1961,,, we can build a strong argument around this.

Anonymous said...

Haya Trump kashinda kaeni na nchi yenu mnaotukana Bongo yetu. Walompigia kura kumbe ni wale weupe wasiowapenda akina yahe nyie. Poleni sana. Bongo tambarare tu na mhe. Magufuli wetu.

Anonymous said...

Anonymous Anonymous said...
"Haya Trump kashinda kaeni na nchi yenu mnaotukana Bongo yetu. Walompigia kura kumbe ni wale weupe wasiowapenda akina yahe nyie. Poleni sana. Bongo tambarare tu na mhe. Magufuli wetu.

November 9, 2016 at 2:03 PM"
Please note that Tanzania Diaspora is not ONLY IN AMERICA.
We are in many countries of the world.
And MAJORITY OF US hatujatukana Tanzania.
Trump kachaguliwa kutokana na kukua kwa demokrasia. Any body can be President in America. But not so for places like Zanzibar.


Anonymous said...

Haya ipendeni Marekani yenu kuliko Zanzibar. Trump alisema uchaguzi rigged kama CUF isipokuwa ashinde. Sasa kashinda mambo sawa. CUF na akina yahe nyie mnadai uchaguzi rigged hadi mshinde! Mtangojea sana.

Anonymous said...

Kweli hii inatusikitisha sana kuona watanzania wachache walio diriki kuacha familia, marafiki,hat vyakula walivyozoea, mazingira nchi yao,wanayoipenda na walikozaliwa nakuamua kwa nguvu zao wakafanya kazi kwa bidii ili wakipatacho nje ya nchi wagawane na ndugu zao wa Tanzania na bado wanavumilia hayo yote. Wakiwa nje ya Tanzania wengi hawapati kazi kirahisi kama mnavyodhania ni kufa na kupona ndugu zangu, Hawa watu ni wakupongeza sana kwani wanakutana na vikwazo vingi hata vya kutisha had akubaliwe kupewa kibarua kazi na vibali vya kuruhusiwa kufanya kazi na hatimaye uraia wa kujiandikisha!. hawawatu wanakuwa wamepigana kweli.Hivyo ni bora kuwapongeza kwa ushujaa uvumilivu na kutokata tamaa kwani wanajua wakifanikiwa watakuwa wataweza kusaidia hat kuokoa wengi nyumbabi walikotoka.
Mfano. Wengi wanafanya kazi zilizongumu na zisizoendana na elimu yao waliyoisomea kwao.
Kazi nyingi kama vile overtime, wengi hawapati hata nafasi ya kakaa na kustarehe km wengi wanavyofikiri. Kwa malengo ya kila akipatacho kusaida nyumbani.
Pia siyo kila muhamiaji anauwezo wakurudi Tanzania kama muwekezaji kwani huyu mtu kule nje ya Tanzania anajitegemea Chakula, kodi za nyumba, matibabu na mahitji mengine mmuhimu,ik wemo na kulazimika kutuma hela kwao Tanzania. Wengi wanafanya kwa kupenda nawengine wanalazimika kufanya hivyo kulinganana hali ya ugumu wa maisha ya walio wengi ndugu zetu Tanzania.Kwa maana hii huyu mtu kipato chake hakitamtosheleza kujitunza na bado eti aje au arudi Tanzania kama muwekezaji! badala ya kurudi kwao kama Mtanzania nyumbani anarudi kama muwekezaji.Inamaana Tanzania itakuwa ya matajiri tu.kama Dangote, na watu wakawida wenye kipato kidogo watakuwa mgeni wa nani?
Kwa anayetoa mfano eti mbona Dangote kawekeza Tanzaniawa na waTanzania waje kama Dangote! wawekezaji hii haileti picha kwani Nigeria inaruhusu siku nyingi uraia pacha na labda anao uraia nje ndoyomaana Nigeria inapiga hatua sana,pia yeye siyo mzaliwa wa Tanzania.

Ugumu mwingine waupatao Kujifunza lugha ya nchi za kigeni walikohamia kwani siyo nchi zote za ulaya, America,Asia na Southamerika zinaongea Kiingereza.Tusisahau kwamba Lakini badala ya nchi yetu ya Tanzania kujitahidi na kuwarahisishia jitihada zao hawa wachache walio jitoalea na kuvumilia shida vipingamizi vyote wanavyo kumbana navyo huko ugenini kwa lengo moja tu la kufanya kazi na kuweza kusaidia ndugu na nchi yao Tanzania kwa nguvu zao zote.
Mimi naomba viongozi waliangalie hili siyo kutanguliza mabaya tu bali yako mazuri na makubwa waliyoisha yafanya.Kwani waishio nje wasingependa Tanzania yao idhurike hili halipo na haliwezekani.
Mimi naomba Swali la uraia pacha liruhusiwe na hii itawapunguzia woga na wasiwasi kuporwa mali zao. kwani inasikitisha kuona Mkenya anayeishi Uingereza mwenye uraia pacha anaingia Tanzania kama airport halipi Visa, na Mzaliwa wa Tanzania anayeishi Uingereza mwenye uraia wa kujiandikisha alipe visa ndani ya nchi yake wakati kafungasha kila akipatacho awapelekee nyumbaniTanzania! Na mtanzania huyu mwenye uraia wakujiandikisha Nje akipitia airport Nairobi Kenya atalipia Transit visa na kuingia Tanzania kama anakwenda kwao Musoma au Mwanza wanakutoza pia visa kama mtalii!.Wa Kenya wanatucheka, hivyo huyu mtu ata east Afrika hawamtabui kama mtu jirani yao wa Afrika mashariki kwani nchi yake imemkataa.Lakini mkenya au mganda mwenye pasport mbili Akishuka airport ya Dar au Kia anapita imigration ya Tanzania bila kulipa visa.ila mTanzania wa kuzaliwa anyeishi nje mwenye Pasport au uraia wa kujiandikisha wa nje analipishwa visa kwao.


Anonymous said...

Kweli hii inatusikitisha sana kuona watanzania wachache walio diriki kuacha familia, marafiki,hat vyakula walivyozoea, mazingira nchi yao,wanayoipenda na walikozaliwa nakuamua kwa nguvu zao wakafanya kazi kwa bidii ili wakipatacho nje ya nchi wagawane na ndugu zao wa Tanzania na bado wanavumilia hayo yote. Wakiwa nje ya Tanzania wengi hawapati kazi kirahisi kama mnavyodhania ni kufa na kupona ndugu zangu, Hawa watu ni wakupongeza sana kwani wanakutana na vikwazo vingi hata vya kutisha had akubaliwe kupewa kibarua kazi na vibali vya kuruhusiwa kufanya kazi na hatimaye uraia wa kujiandikisha!. hawawatu wanakuwa wamepigana kweli.Hivyo ni bora kuwapongeza kwa ushujaa uvumilivu na kutokata tamaa kwani wanajua wakifanikiwa watakuwa wataweza kusaidia hat kuokoa wengi nyumbabi walikotoka.
Mfano. Wengi wanafanya kazi zilizongumu na zisizoendana na elimu yao waliyoisomea kwao.
Kazi nyingi kama vile overtime, wengi hawapati hata nafasi ya kakaa na kustarehe km wengi wanavyofikiri. Kwa malengo ya kila akipatacho kusaida nyumbani.
Pia siyo kila muhamiaji anauwezo wakurudi Tanzania kama muwekezaji kwani huyu mtu kule nje ya Tanzania anajitegemea Chakula, kodi za nyumba, matibabu na mahitji mengine mmuhimu,ik wemo na kulazimika kutuma hela kwao Tanzania. Wengi wanafanya kwa kupenda nawengine wanalazimika kufanya hivyo kulinganana hali ya ugumu wa maisha ya walio wengi ndugu zetu Tanzania.Kwa maana hii huyu mtu kipato chake hakitamtosheleza kujitunza na bado eti aje au arudi Tanzania kama muwekezaji! badala ya kurudi kwao kama Mtanzania nyumbani anarudi kama muwekezaji.Inamaana Tanzania itakuwa ya matajiri tu.kama Dangote, na watu wakawida wenye kipato kidogo watakuwa mgeni wa nani?
Kwa anayetoa mfano eti mbona Dangote kawekeza Tanzaniawa na waTanzania waje kama Dangote! wawekezaji hii haileti picha kwani Nigeria inaruhusu siku nyingi uraia pacha na labda anao uraia nje ndoyomaana Nigeria inapiga hatua sana,pia yeye siyo mzaliwa wa Tanzania.

Ugumu mwingine waupatao Kujifunza lugha ya nchi za kigeni walikohamia kwani siyo nchi zote za ulaya, America,Asia na Southamerika zinaongea Kiingereza.Tusisahau kwamba Lakini badala ya nchi yetu ya Tanzania kujitahidi na kuwarahisishia jitihada zao hawa wachache walio jitoalea na kuvumilia shida vipingamizi vyote wanavyo kumbana navyo huko ugenini kwa lengo moja tu la kufanya kazi na kuweza kusaidia ndugu na nchi yao Tanzania kwa nguvu zao zote.
Mimi naomba viongozi waliangalie hili siyo kutanguliza mabaya tu bali yako mazuri na makubwa waliyoisha yafanya.Kwani waishio nje wasingependa Tanzania yao idhurike hili halipo na haliwezekani.
Mimi naomba Swali la uraia pacha liruhusiwe na hii itawapunguzia woga na wasiwasi kuporwa mali zao. kwani inasikitisha kuona Mkenya anayeishi Uingereza mwenye uraia pacha anaingia Tanzania kama airport halipi Visa, na Mzaliwa wa Tanzania anayeishi Uingereza mwenye uraia wa kujiandikisha alipe visa ndani ya nchi yake wakati kafungasha kila akipatacho awapelekee nyumbaniTanzania! Na mtanzania huyu mwenye uraia wakujiandikisha Nje akipitia airport Nairobi Kenya atalipia Transit visa na kuingia Tanzania kama anakwenda kwao Musoma au Mwanza wanakutoza pia visa kama mtalii!.Wa Kenya wanatucheka, hivyo huyu mtu ata east Afrika hawamtabui kama mtu jirani yao wa Afrika mashariki kwani nchi yake imemkataa.Lakini mkenya au mganda mwenye pasport mbili Akishuka airport ya Dar au Kia anapita imigration ya Tanzania bila kulipa visa.ila mTanzania wa kuzaliwa anyeishi nje mwenye Pasport au uraia wa kujiandikisha wa nje analipishwa visa kwao.


Anonymous said...

Kweli hii inatusikitisha sana kuona watanzania wachache walio diriki kuacha familia, marafiki,hat vyakula walivyozoea, mazingira nchi yao,wanayoipenda na walikozaliwa nakuamua kwa nguvu zao wakafanya kazi kwa bidii ili wakipatacho nje ya nchi wagawane na ndugu zao wa Tanzania na bado wanavumilia hayo yote. Wakiwa nje ya Tanzania wengi hawapati kazi kirahisi kama mnavyodhania ni kufa na kupona ndugu zangu, Hawa watu ni wakupongeza sana kwani wanakutana na vikwazo vingi hata vya kutisha had akubaliwe kupewa kibarua kazi na vibali vya kuruhusiwa kufanya kazi na hatimaye uraia wa kujiandikisha!. hawawatu wanakuwa wamepigana kweli.Hivyo ni bora kuwapongeza kwa ushujaa uvumilivu na kutokata tamaa kwani wanajua wakifanikiwa watakuwa wataweza kusaidia hat kuokoa wengi nyumbabi walikotoka.
Mfano. Wengi wanafanya kazi zilizongumu na zisizoendana na elimu yao waliyoisomea kwao.
Kazi nyingi kama vile overtime, wengi hawapati hata nafasi ya kakaa na kustarehe km wengi wanavyofikiri. Kwa malengo ya kila akipatacho kusaida nyumbani.
Pia siyo kila muhamiaji anauwezo wakurudi Tanzania kama muwekezaji kwani huyu mtu kule nje ya Tanzania anajitegemea Chakula, kodi za nyumba, matibabu na mahitji mengine mmuhimu,ik wemo na kulazimika kutuma hela kwao Tanzania. Wengi wanafanya kwa kupenda nawengine wanalazimika kufanya hivyo kulinganana hali ya ugumu wa maisha ya walio wengi ndugu zetu Tanzania.Kwa maana hii huyu mtu kipato chake hakitamtosheleza kujitunza na bado eti aje au arudi Tanzania kama muwekezaji! badala ya kurudi kwao kama Mtanzania nyumbani anarudi kama muwekezaji.Inamaana Tanzania itakuwa ya matajiri tu.kama Dangote, na watu wakawida wenye kipato kidogo watakuwa mgeni wa nani?
Kwa anayetoa mfano eti mbona Dangote kawekeza Tanzaniawa na waTanzania waje kama Dangote! wawekezaji hii haileti picha kwani Nigeria inaruhusu siku nyingi uraia pacha na labda anao uraia nje ndoyomaana Nigeria inapiga hatua sana,pia yeye siyo mzaliwa wa Tanzania.

Ugumu mwingine waupatao Kujifunza lugha ya nchi za kigeni walikohamia kwani siyo nchi zote za ulaya, America,Asia na Southamerika zinaongea Kiingereza.Tusisahau kwamba Lakini badala ya nchi yetu ya Tanzania kujitahidi na kuwarahisishia jitihada zao hawa wachache walio jitoalea na kuvumilia shida vipingamizi vyote wanavyo kumbana navyo huko ugenini kwa lengo moja tu la kufanya kazi na kuweza kusaidia ndugu na nchi yao Tanzania kwa nguvu zao zote.
Mimi naomba viongozi waliangalie hili siyo kutanguliza mabaya tu bali yako mazuri na makubwa waliyoisha yafanya.Kwani waishio nje wasingependa Tanzania yao idhurike hili halipo na haliwezekani.
Mimi naomba Swali la uraia pacha liruhusiwe na hii itawapunguzia woga na wasiwasi kuporwa mali zao. kwani inasikitisha kuona Mkenya anayeishi Uingereza mwenye uraia pacha anaingia Tanzania kama airport halipi Visa, na Mzaliwa wa Tanzania anayeishi Uingereza mwenye uraia wa kujiandikisha alipe visa ndani ya nchi yake wakati kafungasha kila akipatacho awapelekee nyumbaniTanzania! Na mtanzania huyu mwenye uraia wakujiandikisha Nje akipitia airport Nairobi Kenya atalipia Transit visa na kuingia Tanzania kama anakwenda kwao Musoma au Mwanza wanakutoza pia visa kama mtalii!.Wa Kenya wanatucheka, hivyo huyu mtu ata east Afrika hawamtabui kama mtu jirani yao wa Afrika mashariki kwani nchi yake imemkataa.Lakini mkenya au mganda mwenye pasport mbili Akishuka airport ya Dar au Kia anapita imigration ya Tanzania bila kulipa visa.ila mTanzania wa kuzaliwa anyeishi nje mwenye Pasport au uraia wa kujiandikisha wa nje analipishwa visa kwao.

Anonymous said...

Na anayetoa wazo la mje kama wawekezaji! siyo mnarudi kwenu.
Haya kwa walioolewa na kuoa nje wengi wanaogopa kuchukuwa pasiport nyingine kwa kuogopa wasifutiwe uraia wao wa kuzaliwa Tanzania.Hawa watu wengine wana hata International marriage certificate ndoa za halali kabisa wameoana Tanzania na bado Tanzania haiwaruhusu kuwa na uria pacha wakati nchi nyingine zinaruhusu ili kumwalinda pande zote mbili. kwani hata watoto wao wanakuwa na babu bibi wajomba na mizimu yao pande zote mbili. naukiwauliza wachague upande gani ni wa nchi yao hapo ni vigumu kwa hawa watoto.mfano wakitakichagua Tanzania pasort na wananaishi Belgium Au Holland hawataruhusiwa kusoma bila kuwa na uraia wa nchi hiyo kama wamezaliwa huko na gharama hawataziweza za shule au vyuo, hivyo hawawatoto watalazimika kuchagua kuwa waBelgiji au wa Hollanzi, lakini wanaipenda pia nchi yao Tanzania.Je wazazi hawa wakiachana si mtanzania atanyanganywa watoto na hata haki zake au mali zake alizozitafuta na mme au mke wake asiye Mtanzania? Hapa serikali inawalinda vipi watu wake? mimi sielewi ninani anatunga hiia sheria alianganlie hili kwa undani zaidi.
ndiyo maana unaona Mmoroko mashindao kwenye michezo kama anakipaji anaruhusiwa kucheza mpira akiwa Mmoroko au akiwa Mjerumani.



Uraia pacha ni muhimu sana kwa maisha ya sasa hivi Tanzania waache watu watakaotaka au kujaliwa wakajifunze nje,ikwezekana nakuendeleza wengine nyumbani. Hata wanyama wa Serengeti wanateseka wakitaka kuuvuka mto wa Grumet wenye mamba wakitaka kwenda Masaimara Kenya kutafuta chakula anayenusurika anarudi bila kipingamzi cha waliyokuwa wamebaki upande wa Tanzania. Mbona maisha ni mafupi? Hii Dunia ni ya kupita Wangapi wamekwenda kutafuta nje nchi wakiwa namatazamio ya kurudi na kusaidia ndugu zao wanakufa kabla ya kuyatimiza? na wamefia huko wana sacrifise.
mimi naomba ieleweke kwamba siyo kila mtanzania anayefanikiwa kwenda nje Tayari ni Tajiri sana wengi wana jinyima hata kula na kuvaa na huishi maisha ya chini sacrisfise kwa ajili ya ndugu zao. Ili atunze hela ya kusaidia nyumbani, huyu mtu ingemtia nguvu akirudi Tz achinjiwe tena mbuzi ya pongezi kwani ni wachache sana wanweza kufanya hiyo.Kama mwana mpotevu aliporudi nyumbani baada ya muda mrefu alichinjiwa.Na badala yake wanatishiwa kunyanganywa uraia mali walizozifia na hata waliorithiwa na WAZAZI WAO?Mali ya kurithi inamaana sana hata kama ni shuka utalitunza kamajich lako. Watanzania wanalinda sifa ya nchi yao wakiwa nje Nchi.Tanzania walinde mali ya hawa watu wao waiishio nje ya TZ na kuwathamini watu wao wasipotee.
Mimi nimekuwa nikisoma hii hoja ya uria pacha naona wengi wanaopinga hawajawahi kaa nje waone ugumu wa kukaa nchi za nje bila ya uraia.Ndipo wataelewa faida zake na sababu ya wa Tanzania kutaka uraia pacha. Unaweza kutiliwa mashaka ya kuwa mkimbizi, muovu,muhalifu,au vyote, na kukosa fursa nyngi muhimu za kibinadamu hivyo tuseme ni kuchuwa safe side tu. wakati nchi zingine siorahisi kupata kibali upya kikiisha muda wake unaulizwa kwanini umeishakaa muda wote usichukuwe urahai ili utambulike na iwe raihisi kujua mwenendo wako katika nchi ile unamo ishi.
Kama umeoa/olewa itakulinda kuliko kuishi kwa wasi wasi je akiniacha nikifanye kosa au kunisingizia nirudishwe nyumbani je wanagu?.Lakini km una uraia unalindwa km raia wengine.
Ingekuwa vizuri Tanzania ingefanya tathimini kuyaweka wazi mambo mema waliyoyafanya waishio nje ya nchi Tanzania.Na kusikiliza vilio vya wachache ni muda mrefu wamewalilia ten kwa busara na heshima. WATANZANIA WAISHIO NJE YA NCHI KWA MOYO WENU NA MISAADA YOTE MLOITOA KWA LENGO LA KUINDELEZA TANZANIA MBARIKIWE.

Ninaushukukru uongongozi wa Tanzania ni wa ki demokrasia. Na Demokrasia maana yake ni pamoja na kuyasikiliza na kuyatatua matatizo ya wachache na wa nyonge. Mungu Bariki uongozi wa Tanzania Mungu Bariki Tanzania na dunia nzima.