Advertisements

Saturday, November 5, 2016

LISTI YA WASANII WATAKAO KINUKISHA JUKWAA LA FIESTA DAR LEO

Fiesta 2016 Imooooo! Kwa tiketi ya elfu 18 kupitia mtandao wako wa Tigo na elfu 20 kwa vituo vifuatavyo, ni pamoja na Mlimani City, Palm Resusence – Ocean Road, Nkrumah – Gerezani, Buguruni – Rozana, Quality Center, Kariakoo – Msimbazi/ Pemba Street, Kibaga – Maili moja karibu na Njuweni, Kigamboni – Ferry, Manzese – Darajani, Tegeta – Kibo Complex Mall, Makao Makuu – Makumbusho, Masak i- Haile Selasie, Mbagala – Kituo cha mafuta Oilcom na 25 getini sio ya kukosa.
CREDIT:GPL

Staa kutoka Nigeria, Yemi Alade.


Mkali wa ngoma ya Wash, Where, Dulo kutoka Nigeria, Tekno Miles.


Staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba.


Msanii wa Bongo Fleva, Darassa.


Maua Sama.


Jux.

Baraka The Prince.


Shilole.


Roma.


Vanessa Mdee.


Raymond.


Sholo Mwamba.


Snura.


Man Fongo.

Fiesta 2016 kwa kishindo cha Tigo leo viwanja vya Leaders manispaa ya kinondoni jijini Dar es salaam, jukwaa litashereheshwa na orodha ifuatayo kwa wasanii kutoka hapa nyumbani. Ni pamoja na Alikiba, Baraka The Prince, Barnaba, Bell 9, Billnas, Chege, Christian Bella, Darassa, Dogo Janja, Fid-Q, Hamadai, Jay Moe, Juma Nature, Jux, Lord Eyez, Man Fongo, Maua Sama, Mr Blue, Msami, Nandy, Raymond, Roma, Shilole, Sholo Mwamba, Snura, Stamina, Vanessa Mdee, Weusi na Young Dee.

Jukwaa pia litashereheshwa na wasanii kutoka nje ya Tanzania, ni pamoja na Jose Chameleon kutoka Uganda, Tekno Miles na Yemi Alade kutoka Nigeria. 

Fiesta 2016 Imooooo! Kwa tiketi ya elfu 18 kupitia mtandao wako wa Tigo na elfu 20 kwa vituo vifuatavyo, ni pamoja na Mlimani City, Palm Resusence – Ocean Road, Nkrumah – Gerezani, Buguruni – Rozana, Quality Center, Kariakoo – Msimbazi/ Pemba Street, Kibaga – Maili moja karibu na Njuweni, Kigamboni – Ferry, Manzese – Darajani, Tegeta – Kibo Complex Mall, Makao Makuu – Makumbusho, Masak i- Haile Selasie, Mbagala – Kituo cha mafuta Oilcom na 25 getini sio ya kukosa.

No comments: