Advertisements

Thursday, November 10, 2016

Rais Magufuli alivyomtembelea mkewe mama Janeth Hospitalini Muhimbili


Leo November 10 2016 Rais Magufuli amewatembelea na kuwajulia hali wagonjwa waliolazwa katika wodi ya Sewahaji iliyopo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam wakiwemo Waziri na Balozi Mstaafu wa Tanzania Omar Ramadhan Mapuri na Mkewe Mama Janeth Magufuli.

Rais Magufuli na Waziri na Balozi Mstaafu wa Tanzania Omar Ramadhan Mapuri

Rais Magufuli na Mkewe mama Janeth Magufuli


Rais Magufuli na baadhi ya madaktari na wauguzi kwenye wodi ya Sewa Haji

No comments: