Advertisements

Thursday, December 1, 2016

JAJI MKUSA AAPISHWA LEO

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  akimuapisha Mhe,Jaji Mkusa Issac Sepetu kuwa kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo Ikulu Mjini Unguja.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  akimkabidhi hati ya kiapo Mhe,Jaji Mkusa Issac Sepetu baada ya kumuapisha kuwa kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo Ikulu Mjini Unguja.
ais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  akipena mikono na Mhe, Jaji Mkusa Issac Sepetu baada ya kumkabidhi hati ya kiapo  alipomuapisha kuwa kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo Ikulu Mjini Unguja.
 Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe,Balozi Seif Ali Iddi (kulia) akimpongeza Mhe, Jaji Mkusa Issac Sepetu kwa kuteuliwa kwake kuwa kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar katika hafla ya kiapo iliyofanyika leo Ikulu Mjini Unguja na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali. 
 Viongozi waliohudhuria  katika hafla ya kuapishwa Mhe,Jaji Mkusa Issac Sepetu kuwa kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar (kutoka kushoto) Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe,Zubeir Ali Maulid,Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe,Haroun Ali Suleiman na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, hafla iliyofanyika leo Ikulu Mjini Unguja. (Picha na Ikulu)

No comments: