Monday, January 2, 2017

ILIKUWA NI SIKU YA BARAKA TELE NYUMBANI KWA EVANS NA TEDY(SUWANE) WALIPOANDAA DINNER YA NGUVUU NA KUJUMUIKA NA MARAFIKI ZAO SIKU YA NEW YEAR EVE (DEC 31) ATL, GEORGIA.

Evans na mkewe Tedy wakiwa na nyuso furaha na wageni

Charles Semali katika maandalizi ya mishkaki

Bro Peter akifafanua jambo

Mwili haujengwi kwa mawe

Kapuya, Evans, na Peter

Marafiki walivojumuika na familia ya Evans kusubiri mwaka


Dj Moses na kaka Oswald katika maandalizi

Mr Kulaya akiombea chakula na shughuli kwa ujumla iende salama



Mama zetu wapendwa


Mr Gregory na Mr Kibwana

Mvinyoz

muda wa msosi



Mr Wiston, Mr Kulaya, Mr Ibi, na Brother Peter

Menuz haikuwa ya mchezo mchezo

Evans na rafiki ake kipenzi tangu wakiwa na miaka 14 

Le couplezz




Rose Mshumbusi na familia
Mrs Kulaya katika ubora wake
Watoto wakati wote ni baraka
Mc na Dj wakifanya yao
Mr Gregory na Mkewe Digna wakisakata rumba
Agnes Makalla na mama mwenye nyumba Tedy

Inde mama inde
Mr and Mrs Liganga wakiduarika

Agnes na Jamila kwa raha zao

Tedy akitoa ahsante kwa marafiki waliohudhuria shughuli ya kuaga 2016 na kukaribisha 2017 (New Year Eve party)
Woow mama na mwana



Mduara


The swagaz (red converse) za Dj Moses na mkewe Lolo na mtoto wao zilifunika

No comments: