Advertisements

Tuesday, January 17, 2017

MAJALIWA AFUNGUA DUKA LA DAWA LA MSD KATIKA HOSPITALI YA MPANDA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Meja Jenerali Mstaafu, Rafael Muguga baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda Januari 17, 2017  ambako  alifungua duka la dawa la MSD.  Wpili kushoto ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Katavi, Muselem  Said Abdallah. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa  akisalimiana na Mbunge wa Mpanda Mjini, Sebastian Kapufi baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda Januari 17, 2017 kufungua duka la dawa la MSD.
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi na watumishi wa Halmashauri na Manispaa ya Mpanda  na wananchi  kwenye Ikulu ndogo ya Mapanda Januari 17, 2017.
Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akizungumza na Elizabeth Zephania , mmoja wa wazazi waliojifungua katika hospitali ya Mpanda  wakati alipotembelea wodi ya wazazi ya hospitali hiyo Januari 17, 2017.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimfariji Bw. Mussa Matemela anayemuuguza mwanae Emmanuel Sahani (3) wakati alipotembelea wodi ya watoto katika  hospitali ya Mpanda Januari 17, 2017.
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimfariji  wanawake waliolazwa katika hospitali ya Mpanda wakiuguza watoto wao wakati alipotembelea wodi ya watoto katika hospitali hiyo Januari 17, 2017.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea wodi ya watoto katika hopitali ya Mpanda ili kuwafariji wagonjwa na kusikiliza kero zao Januari 17, 2017.
 Wananchi wa Mpanda wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati aliopowahutubia  kabla  ya kuzindua duka la dawa  la MSD  katika hospitali ya Mpanda Januari 17, 2017.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa Mpanda kabla ya  kufungua duka la dawa la MSD katika hospitali hiyo Januari 27, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua duka la dawa la MSD katika hospitali ya Mpanda Januari 17, 2017.    Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Meja Jenerali Mstaafu, Rafael  Muhuga na kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Laurean Bwanakunu. Kulia ni Waziri wa Nishati na Madini , Profesa Sospeter Muhongo, Wapili kulia ni Mbunge wa mapanda Mjini, Sebastian Kapufi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
1A2800    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kakitazama dawa za bibadamu baada ya kufungua duka la dawa la MSD katika hospitali ya Mpanda Januari 17, 2017.  Watatu kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Laurean Bwanakunu na wapili kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Katavi, Muselem Said Abdallah.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipiga makofi  baada ya kufungua duka la dawa  la MSD katika hospitali ya Mpanda  Januari 17, 2017. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Laurean Bwanakunu na kulia ni Mbunge wa Mapanda Mjini Sebastian Kapufi.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kakitazama dawa za binadamu baada ya kufungua duka la dawa la MSD katika hospitali ya Mpanda Januari 17, 2017.  Kushoto  ni Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Laurean Bwanakunu .
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipiga makofi  baada ya kufungua duka la dawa  la MSD katika hospitali ya Mpanda  Januari 17, 2017. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Laurean Bwanakunu na kulia ni Mbunge wa Mapanda Mjini Sebastian Kapufi.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wa dini baada ya kufungua duka la dawa la MSD katika hospitali ya Mpanda Januari 17, 2017
Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa akiwapungia wananchi baada ya kufungua duka la dawa la MSD katika hospitali ya Mpanda Januari 17, 2017. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: