Advertisements

Wednesday, January 18, 2017

MSIMU WA 15 WA MASHINDANO YA KIMATAIFA YA MBIO ZA KILIMANJARO PREMIUM LAGER MARATHON 2017 WAZINDULIWA RASMI MKOANI KILIMANJARO.

Mkuu wa wilaya ya Moshi,Kippi Warioba akizungumza wakati wa uzinduzi wa msimu wa 15 wa mbio za kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2017 ,uzinduzi uliofanyika Kibo Palace Home mjini Moshi.
Baadhi ya wageni waalikwa wakifuatilia uzinduzi huo.

Meneja Mauzo wa Kampuni ya TBL mikoa ya Kilimanjaro na Tanga ,Richard Temba akizungumza wakati wa uzinduzi huo,TBL ndio wadhamini wakuu wa Mbio hizo kupitia Bia yake ya Kilimanjaro Premium Lager.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mawasiliano ya simu za mkononi ya TIGO ,Kanda ya Kaskazini,George Lugata akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mbio za Kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2017 ,Tigo wanadhamini mbio hizo kwa upande wa Mbio za Kilometa 21
Baadhi ya wageni waalikwa katika hafla fupi ya uzinduzi wa mbio hizo.
Meneja Masoko wa Kampuni ya GAPCO Tanzania ,Caroline Kakwezi akizingumza wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi wa mbio za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2017,GAPCO wanadhamini mbio za Kilometa 10 kwa upande wa walemavu.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Executive Solution ,Aggrey Mareale ambao ndio waratibu wa mbio hizo akizungumza wakati wa hafla hiyo.
Mwakiishi wa Kampuni ya Sukari ya TPC,Allen Maro akizungumza wakati wa hafla hiyo,TPC pia ni wadhamini wa mashindano hayo ya kimataifa ambayo hufanyika kila mwaka.
Afisa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya kuchimba Dhahabu ya Geita Gold Mining (GGM) Tenga B Tenga akizungumza wakati wa uzinduzi huo,GGM wakiwa ni wadhamini wapya katika mashindano hayo.
Mwenyekiti wa Chama cha Riadha mkoa wa Kilimanjaro (KAA) Liston Methacha akizungumza kwa niaba ya shirikisho la Riadha Tanzania katika uzinduzi huo.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Wildfrontiers,John Hudson ambao ndio waandaaji wa mbio hizo akizungumza wakati wa hafla hiyo.
Mkurugenzi wa Kibo Palace,Vicent Lasway akizungumza katika hafla hiyo.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro,Wilbroad Mutafungwa akizungumza katika hafla hiyo.
Mgeni rasmi katika hafla hiyo Mkuu wa wilaya ya Moshi,Kippi Warioba akiwapongeza wawakilishi wa kampuni zilizojitokeza kudhamini Mbio hizo za kimataifa.
Mkuu wa wilaya ya Moshi,Kippi Warioba akiwa na wawakilishi wa kampuni zinazodhamini mbio za Kimataifa za Kilimanjaro Marathoni 2017 pamoja na jeshi la Polisi ,akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Mbio hizo.
Mgeni rasmi katika hafla fupi ya uzinduzi wa Mbio za Kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager Marathoni 2017 akiwa katika picha ya pamoja na wadhamini wa Mbio hizo.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii kanda ya Kaskazini. 

No comments: