Advertisements

Wednesday, January 11, 2017

RAIS DK. SHEIN AFANYA UZINDUZI WA SKULI YA SEKONDARI KWARARA 2

 Chumba cha Kompyuta katika Skuli ya Sekondari ya Kwarara iliyozinduliwa na Rais wa Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein ambayo imejengwa na  Ushirikiano  wa Serikali ya Mapinduzi na Shirika la Kimataifa la Maendeleo kutoka Korea (KOICA), Ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar
  Rais wa Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia)  akifuatana na   Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Prof.Joyce Lazaro Ndalichako (katikati) na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali (kulia) wakati alipotembea katika madarasa mbali mbali ya  Skuli ya Sekondari ya Kwarara na Kituo cha Elimu ya Habari ,iliyoizindua rasmi leo, iliyojengwa kwa Ushirikiano  wa Serikali ya Mapinduzi na Shirika la Kimataifa la Maendeleo kutoka Korea (KOICA), Ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar
 Rais wa Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipanda mti aina ya muembe baada ya kuizindua Skuli ya Sekondari ya Kwarara na Kituo cha Elimu ya Habari,aliyoizindua rasmi  leo, Ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar, ujenzi wa Skuli hiyo umefadhiliwa na Serikali ya Mapinduzi na Ushirikiano  wa Serikali ya Mapinduzi na Shirika la Kimataifa la Maendeleo kutoka Korea (KOICA)
 Rais wa Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa  Balozi wa Korea Kusini Bw.Song Geumyoung wakati wa sherehe za uzinduzi wa Skuli ya Sekondari ya Kwarara na Kituo cha Elimu ya Habari,uliofanyika leo Skulini hapo, Ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar, ambapo ujenzi wake umejengwa kwa Ushirikiano  wa Serikali na Shirika la Kimataifa la Maendeleo kutoka Korea (KOICA)
Rais wa Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa Hutuba yake katika sherehe za uzinduzi wa Skuli ya Sekondari ya Kwarara na Kituo cha Elimu ya Habari, aliyoizindua rasmi  leo ,Ikiwa ni shamra shamra za miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar,ujenzi wa Skuli hiyo umejengwa kwa ushirikiano wa  Serikali ya Mapinduzi na Ushirikiano  wa Serikali ya Mapinduzi na Shirika la Kimataifa la Maendeleo kutoka Korea (KOICA). (Picha  na Ikulu)

No comments: