ANGALIA LIVE NEWS

Monday, February 13, 2017

FURAHA ILIYOTAWALA SIKU YA KUTIMIZA MWAKA MMOJA KWA GABRIEL(MTOTO WA MOSES NA LOLO) SHEREHE ILIYOWAKUSANYA WANA ATLANTA GA, ILIYOFANYIKA SIKU YA FEB 4, POWDER SPRINGSL, ATL GA.



Lolo, Rose, na watoto 



Mc ambaye pia ni mwenyekiti akisoma utaratibu 



Watoto waliojitokeza kumpongeza Gaby 


Beautiful totoz 


Gaby huyooo 


Gaby akipata menu 


Da Lily akifunga kwa sala 



Gaby's cake was yummy 


Da Lila akitia neno 



Gaby akipata deko kwa bibi (Aunt Fatma) 




cups cake 



Mama na mwana looking lovely 


maandalizi ya kukata cake 


Baba(Moses) na Mama Gaby (Beautiful Lolo) 


Gaby akijiandaa kumlisha mama cake tamu. 



bibi Aunt Fatma akilishwa cake 



Gaby akipokea kiss motomoto kutoka kwa bibi Aunt Mariam 



Yeaaay anamlisha mom dearest 



Menu sasa mmh...yummy 


mbuzi ya kuokwa 



Ndizi kutoka uchagani 



Kachummbari ya Da Lila si ya sport sport 



Lolo akifurahi na wageni zake 



zawadi za Gaby 



Wageni waliojichanganya 


watoto walionyesha mapenzi mubashara kwa mtoto Gaby 



Pretty Lolo na Agnes 



Zai na Lily (kioo hakidanganyi) 



Gaby sambamba na auntie Jamila 



Moses na wageni wake 



Auntie Rachel nae alikuwepo kwa Gaby's day 



Marafiki wa Lolo (mama Gaby) 



Mama Gaby na Miss Tee 


Salama na mashosti wakifuahia jambo 


Mama Gaby na Kaka Mecky 


Watoto wakipata msosi 


Wooow..mapenzi mubashara mama na watoto 



Salomez wa atl wanapokutana sasa.. 



Najat, digna, Lolo na salomez wengine wakipata menu 



wageni kutoka Kenya pia walikuwepo 



msosi ukiendelea 


Moses akifurahi na ndugu zake 

No comments: