Advertisements

Wednesday, May 31, 2017

FURAHA ILIVYOTAWALA KWA THEO GODA BAADA YA KUMALIZA HIGH SCHOOL NA KUFANYIWA TAFRIJA NDOGO NA MAMA YAKE RACHEL WA ATLANTA GEORGIA

Theo
Mama na mwana wakiwa nje ya ukumbi wa Infinite Energy Arena (Sugarloaf, GA)
KWA PICHA KIBAO BOFYA SOMA ZAIDI

Theo na uncle Ibi mara baada ya kupokea cheti week chache iliyopita
marafiki wakipata msosi
Rachel Udoba akimkumabatia mwanae mara baada ya graduation
Watoto waliokuja kumpongeza Theo wakipata menu
Pude 


Watoto wakisaidia kuandaa cake ya Thee
Najat na her boy
sisters
Rachel akizungumza na marafiki zake mbalimbali
sisters
zawadi
Salama Liganga na auntie (Morogoro oyee)





Theo akishukuru wageni walofika kumpongeza
Digna akitabasamu kwa upendo alipowakumbatia mama na mwana




ze cake

Pude na salama

Nasra na Lolo

Lolo, Nasra na mapacha wake

Lily na Lolo

Salama



Mr Ibi

Mr Ibi na Jamila
Theo akipata hug kutoka kwa Vice principal


Uncle Jamie na aunt Neema kwenye picha ya pamoja na Theo
Theo akielekea kupokea cheti chake
Add caption
Theo akiwa na wanfunzi wenzie kabla ya shughuli
Auntie Jamila na busu mwanana kwa Theo



Theo akiwa nje baasa ya ku graduate

Rachel akikabidhi maua kwa mwanae



Auntie Neema na Thee

No comments: