Advertisements

Wednesday, June 14, 2017

PAPISS CISSE ABUBUJIKWA NA MACHOZI KATIKA MISA YA CHEICK TIOTE

  Wachezaji wenzake wa zamani na wa sasa wa mchezaji marehemu, Cheick Tiote, wamehudhuria misa ya kuuga mwili wa mchezaji huyo wa Newcastle United aliyefariki mapema mwezi huu. 

Tiote alifariki dunia baada ya kuanguka akiwa mazoezini na klabu yake ya China ya Beijing Enterprises, ambapo watu waliokuja kutoa heshima zao za mwisho kwa kiungo huyo Jijini Beijing.

Mchezaji mwenzake wa zamani, Papiss Cisse alikuwa ni mingoni mwa waliohudhuria misa hiyo ambapo alijikuta akishindwa kujizuia na kububujikwa na machozi mbele ya jeneza la Tiote.
           Papiss Cisse akitokwa na machozi katika misa ya kuuaga mwili wa Cheick Tiote
     Wachezaji wa Beijing Enterprises wakitokwa na machozi wakiuuga mwili wa Tiote

No comments: