Advertisements

Sunday, June 11, 2017

SHIRIKA LA BRAC LAKABIDHI VIFAA VYA MILIONI 153 KWA WASICHANA WAJASIRIAMALI 700 TANGA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi akizungumza wakati wa halfa ya shirika la BRAC kuwakabidhi vifaa vyenye thamani ya milioni 153 wasichana wajasiriamali kutoka Mkoani Tanga kulia ni Meneja Mipango wa Elimu kutoka BRAC Tanzania Amina Shabani kushoto ni Diwani wa Kata ya Makorora Omari Mzee 
Diwani wa Kata ya Makorora Omari Mzee akizungumza katika Halfa hiyo kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi 
Meneja Mipango wa Elimu kutoka BRAC Tanzania Amina Shabani akizungumza katika halfa hiyo 
Meza kuu wakifuatilia matukio mbalimbali katika halfa hiyo 
Mmoja kati ya wasichana wanaoishi kwenye mazingira magumu ambao wamejengewa uwezo na kupata fursa ya kujiendelea kukuza na kujiendeleza kiuchumi Aisha Mohamed akiishuru Brac kwa kuwawezesha ili waweze kukabiliana na maisha bnaada ya kupatiwa mafunzo
Baadhi ya wananchi na wazazi wa wasichana wakifuatilia matukio mbalimbali ya makabidhiano vifaa vyenye thamani ya sh.,milioni 153 wasichana wajasiriamali 700 kutoka mkoani Tanga ili waweze kujikwamua kiuchumi
Baadhi ya wananchi na wazazi wa wasichana wakifuatilia matukio mbalimbali ya makabidhiano vifaa vyenye thamani ya sh.,milioni 153 wasichana wajasiriamali 700 kutoka mkoani Tanga ili waweze kujikwamua kiuchumi
Walimu ambao walikuwa wakiwafundisha wasichana hao masuala mbalimbali ya ujasiriamali wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa halfa hiyo 
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi katika akiwa kwenye picha ya pamoja na wasichana wajasiriamali 700 mkoani hapa ambao walikabidhiwa vifaa vyenye thamani ya milioni 153 ambavyo ni vyerahani 90,mashine za kukaushia nywele 90,vifaa vya ufugaji wa kuku,vifaa vya kilimo,vifaa vya upishi,vifaa vya kwa ajili ya utengenezaji wa batiki na mabegi ya kike
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi katika akiwa kwenye picha ya pamoja na wasichana wajasiriamali 700 mkoani hapa ambao walikabidhiwa vifaa vyenye thamani ya milioni 153 ambavyo ni vyerahani 90,mashine za kukaushia nywele 90,vifaa vya ufugaji wa kuku,vifaa vya kilimo,vifaa vya upishi,vifaa vya kwa ajili ya utengenezaji wa batiki na mabegi ya kike
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi katika akiwa kwenye picha ya pamoja na wasichana wajasiriamali 700 mkoani hapa ambao walikabidhiwa vifaa vyenye thamani ya milioni 153 ambavyo ni vyerahani 90,mashine za kukaushia nywele 90,vifaa vya ufugaji wa kuku,vifaa vya kilimo,vifaa vya upishi,vifaa vya kwa ajili ya utengenezaji wa batiki na mabegi ya kike
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi kushoto akimkabidhi cherehani cha kusonea nguo Aisha Mohamed wakati alipokwenda kuwakabidhi vifaa vyenye thamani ya sh.milioni 153 wasichana wajasiriamali 700 vilivyotolewa na Shirika la BRAC kwa wasichana waliopata mafunzo ya ujasiriamali na shirika hilo
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi kushoto akimkabidhi mashine ya kukaushia nywele mwanafunzi Thabituwa Shabani wakati wa halfa hiyo kulia ni Meneja Mipango wa Elimu kutoka BRAC Tanzania Amina Shaban
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi katikati akikabidhi mabegi ya kike kwa wasichana 700 wa mkoa wa Tanga kushoto ni Meneja Mipango wa Elimu kutoka BRAC Tanzania Amina Shabani 
Habari kwa hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha

No comments: