Professor Boas akiwa nyumbani kwake Mount Rainier, Maryland akiomboleza msiba wa dada yake Upendo aliyefariki June 9, 2017 nchini Tanzania
WanaDMV wakijumuika pamoja na Professor Boas nyumbani kwake Mount Rainier, Maryland
WanaDMV wakijumuika pamoja nyumbani kwa Professor Boas kutoa mkono wa pole kwa msiba wa dada yake Upendo aliyefariki June 9, 2017 nyumbani Tanzania.
WanaDMV wakijumuika pamoja nyumbani kwa Professor Boas kutoa mkono wa pole kwa msiba wa dada yake Upendo
Mrs Boas katika picha.
WanaDMV wakijumuika pamoja nyumbani kwa Professor Boas (kushoto) kutoa mkono wa pole kwa msiba wa dada yake Upendo
No comments:
Post a Comment