Advertisements

Tuesday, July 4, 2017

MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 59 MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO JULAI 4, 2017.

  Naibu Spika  wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dk.Tulia Ackson  akiongoza    kikao cha hamsini na tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Julai 4, 2017.
 Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Prof Palamagamba Kabudi akisoma maelezo kuhusu Sheria ya marekebisho ya Sheria mbalimbali wa Mwaka 2017  kikao cha hamsini na tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Julai 4, 2017.
 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe.Hamad Masauni akijibu maswali mbalimbali ya wabunge kikao cha hamsini na tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Julai 4, 2017.

 Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Antony Mavunde akijibu maswali mbalimbali ya wabunge kikao cha hamsini na tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Julai 4, 2017.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mhe.Angeline Kairuki  akijibu maswali mbalimbali ya wabunge   katika kikao cha hamsini na tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Julai 4, 2017.
 Mbunge wa Bukombe Mhe.Dotto Biteko akiuliza swali  katika kikao cha hamsini na tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Julai 4, 2017.
 Mbunge wa Kuteuliwa Mhe.Salma Kikwete akiuliza swali katika kikao cha hamsini na tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Julai 4, 2017.
 Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Dk Harrison Mwakyembe akiteta jambo na Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe.Mwigulu Nchemba   katika kikao cha hamsini na tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Julai 4, 2017.
 Mshindi wa Tuzo ya Stephen Thomas Award Bw.Samwel Edward Mwanyika mwenye ugonjwa wa Down Syndrome akionyesha tuzo yake Bungeni baada ya kushinda tuzo hiyo ya Dunia nchini Uingereza kwa kupiga picha inayovutia leo Mjini Dodoma Julai 4, 2017.Wengine ni Mama yake Bi.Sophia Mshangama na Kaka yake Ndg Elias Mwanyika
 Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa akizungumza  jambo na Mbunge wa Mtama Mhe.Nape Nnauye  katika kikao cha hamsini na tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Julai 4, 2017.
 Walimu na wanafunzi kutoka Sekondari ya Nyangao kutoka Mtama Mkoani Lindi wakiwa Bungeni kujifunza shughuli mbalimbali katika kikao cha hamsini na tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Julai 4, 2017.
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe.Dk Hussein Mwinyi  akizungumza jambo  na Mbunge  wa Viti Maalum Mhe.Martha Mlata katika kikao cha hamsini na tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Julai 4, 2017.

Picha Zote na Daudi Manongi- Dodoma MAELEZO, DODOMA

No comments: