Advertisements

Friday, August 18, 2017

MSIBA DMV NA TANZANIA


Sarah, Sabrina Ally, Khadija Abullah wa New York na Biubwa Marumbo wa WashingtonDC. Wanasikitika kutangaza kifo cha mjomba wao Wilson Charles Amour kilichotokea ghafla nyumbani kwake DMV. Takoma Maryland. 


Shughuli za mazishi zitatangazwa baadaye. kwa sasa tujumuike pamoja na wafiwa na kuwafariji katika kipindi hiki kigumu.

Msiba upo nyumbani kwa Biubwa area
116 Lee ave apt 110. T
AKOMA PARK, MD, 20912. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na 
Sabrina  347 605-3276 au 
Khadija 347 307-6930 
Biubwa 12404766498.  
 Alban Abdul-aziz  785 550-2966

UKIPATA TAARIFA HII MTAARIFU NA MWENZIO

2 comments:

Anonymous said...

Poleni sana Sana wafiwa wote.Mwenyezi mungu akupeni subra katika kipindi hiki cha msiba.Mwenyezi mungu amlaze mahali pema peponi marehemu mjomba Wilson Charles amour.Amen.

Shukran vijimambo kwa kutupa taarifa hii.

Bernadetha said...

Poleni sana wafiwa, Mungu awape faraja na kuongoza mipango yote ya mazishi. Tuko pamoja nanyi.