Advertisements

Tuesday, October 10, 2017

TAARIFA KWA UMMA


TAARIFA KWA UMMA

Ubalozi wa Tanzania nchini Kenya umeandaa Misa Maalum ya kumbukumbu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere itakayofanyika tarehe 14 Oktoba, 2017 katika Kanisa la Holy Family Basilica, Nairobi kuanzia saa 4.00 hadi saa 5.00 asubuhi.

Watanzania wote pamoja na ndugu, jamaa na marafiki mnakaribishwa kushiriki katika Misa hii. Kufika kwenu kwa wingi ndio kufanikisha shughuli yetu sote.

TUNATANGULIZA SHUKRANI ZETU ZA DHATI.

IMETOLEWA NA:
UBALOZI WA TANZANIA 
NAIROBI, KENYA

10 OKTOBA, 2017


No comments: