ANGALIA LIVE NEWS

Friday, November 10, 2017

Karibuni kuangalia kipindi kipya cha Njoo Tuongee

Ningependa kuchukua fursa hii kutambulisha kwenu kipindi cha Njoo Tuongee

Njoo Tuongee ni kipindi kinachoendeshwa na shirika la Twaweza.

Kipindi hiki huhoji wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania juu ya utekelezaji wao katika wizara zao, pamoja na maoni yao kwa nchi yetu.

Kama mdau wa habari pamoja na mshiriki wetu mkuu katika kazi, tunapenda kukutaarifu kuhusu kipindi hiki.

Siku: Kila Ijumaa
Muda: 12:30 jioni (saa kumi na mbili na nusu jioni)
Stesheni: Star TV
Mgeni wa wiki hii: Dkt Harrison Mwakyemebe - Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na MIchezo

Kipeperushi cha kipindi hiki kimeambatanishwa.

Karibuni sana.

No comments: