Advertisements

Thursday, November 23, 2017

VIDEO:DKT MWIGULU AMEWAAKIKISHIA WANACHAMA WA CCM MKOA WA RUVUMA KUIBUKA NA USHINDI KATIKA UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI

Mbunge wa Iramba Magharibi Dkt Mwigulu Nchemba amewahaakikishia wanachama wa ccm mkoani RUVUMA kuwa chama hicho kitachukua kata zote zinazoshiriki uchaguzi mdogo wa madiwani katika wilaya ya TUNDURU na MBINGA hayo amesema wakati wa kumnadi mgombea wa wa udiwani katika kata ya MHONGOZI wilayani MBINGA HABARI KAMILI HII HAPA VIDEO YAKE

2 comments:

Anonymous said...

Mwigulu is a Phd holder? When did he had time to write a thesis? Jamani a thesis used to take 4 years full time, how on earth can a busy minister manage to write one? Mimi sielewi.

Anonymous said...

we have so many Phd holder, I would like to read all their thesis. Where can we get copies, I really would like to review some of them.