Advertisements

Tuesday, January 16, 2018

Rais wa Zanzibar Dk. Shein Azungumza na Wenyeviti wa Jumuiya za Chama Ikulu.

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dkt. Mndolwa Bernad Edmund alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumza na kujitambulisha baada ya kuchaguliwa kuchukua nafasi hiyo kuiongoza kwa kipindi cha miaka mitano.(Picha Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzu Dk. Ali Mohamed akiwa na mgeni wake Mwnyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dkt. Mndolwa Bernad Edmund, akimshindikiza baada ya mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Zanzibar alipofika kujitambulisha.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka, akitowa maelezo na kumtambulisha Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Kheri James walipifika kwa mazungumzo na kujitambulisha Ikulu Zanzibar leo.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Kitaifa wa UVCCM, baada ya mazungumzo yao na kujitambulisha Ikulu Zanzibar.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania (UWT) Thuwaiba Editon Kisasi alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha leo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania, baada ya mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Zanzibar walipofika kujitambulisha.(Picha Ikulu)  

No comments: