Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (aliyevaa suti) akimkabidhi bendera Kapteni wa Timu ya Taifa ya Tenisi Bw.Masoud Mtalaso leo jijini Dar es Salaam kwa niaba ya timu zote za michezo zinazoondoka nchini kesho jioni kwenda katika mashindano ya Jumuiya ya Madola yanayofanyika nchini Australia katika mji wa Gold Coast.



No comments:
Post a Comment