ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, March 29, 2018

Habari na Picha za Mashindano ya Jumuiya ya Madola

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (aliyevaa suti) akimkabidhi bendera Kapteni wa Timu ya Taifa ya Tenisi Bw.Masoud Mtalaso leo jijini Dar es Salaam kwa niaba ya timu zote za michezo zinazoondoka nchini kesho jioni kwenda katika mashindano ya Jumuiya ya Madola yanayofanyika nchini Australia katika mji wa Gold Coast.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza na wanamichezo wanaokwenda katika mshindano ya Jumuiya ya Madola nchini Australia na kuwataka wawe wazalendo na kutangaza utalii wa nchi leo jijini Dar es Salaam kabla ya kuwakabidhi bendera ya Taifa.

No comments: