ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, March 6, 2018

Mafuta yapanda bei, hizi ni bei elekezi zitakazoanza kutumia Machi 7, 2018

Bei za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa zimepanda ambapo, petroli imepanda kwa TZS 1 kwa lita (0.06%), dizeli TZS 69 kwa lita (3.37%) na mafuta ya taa TZS 4 kwa lita (0.20%).
Ongezeko hilo ni kutokana na mabadiliko ya bei za mafuta katika soko la dunia, na uimara wa dola (USD) inayotumika katika biashara dhidi ya shilingi ya Tanzania.

No comments: