Advertisements

Sunday, March 18, 2018

MSIBA DMV NA NYUMBANI TANZANIA

Baba yetu, Dr. Nicholaus Boaz amempoteza Mama yake mzazi leo Tanzania. Mzee Boaz amepata taarifa za Mama yake kuitwa na bwana majira ya saa 12 jioni hii. 

Kama ilivyo ada yetu Watanzania wa DMV kufarijiana kipindi cha matatizo; 

msiba upo nyumbani kwake Mzee wetu Boaz. 
Address: 4617 - 30th St. 
Mount Rainier, MD 20712 

Rambirambi: CashApp ‭+1 (919) 452-2746‬ Elizabeth Bantu (Lissa)

 Kwa taarifa za msiba wasiliana Dr. Boaz: 240-593-6348 _

BWANA AMETOA, BWANA AMETWAA; JINA LAKE LIHIMIDIWE

No comments: