Advertisements

Monday, April 30, 2018

IGP SIRRO AFANYA UKAGUZI WILAYANI MUFINDI

Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akiwa ameongozana na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, mhe. Jamhuri William (kushoto) wakati alipofanya ziara ya kikazi na kuzungumza na maofisa na askari wa Jeshi hilo mkoani Iringa leo. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akisalimiana na Maofisa wa Polisi wakati alipofanya ziara ya ukaguzi na kuzungumza na Maofisa na askari wa wilaya ya Mufindi mkoani Iringa leo. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akizungumza na askari wa vyeo mbalimbali wilayani Mufindi mkoani Iringa leo, wakati akiwa kwenye ziara ya ukaguzi pamoja na kuona changamoto walizonazo askari wa Jeshi hilo na kuwataka kufanyakazi kwa kuzingatia sheria na taratibu. Picha na Jeshi la Polisi

No comments: