Advertisements

Saturday, May 19, 2018

RAIS DKT MAGUFULI APOKEA MAKOMBE YA UBINGWA WA CECAFA WA SERENGETI BOYS NA TSC, AKABIDHI LA UBINGWA WA LIGI KUU KWA SIMBA


  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili kushuhudia  mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati ya Simba SC na Kagera Sugar na kupokea kombe la ubingwa wa CECAFA la U-17 toka kwa Serengeti Boys pamoja na la timu ya vijana wanaoishi kwenye mazingira magumu na kuwakabidhi Simba kombe lao Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili kushuhudia  mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati ya Simba SC na Kagera Sugar na kupokea kombe la ubingwa wa CECAFA la U-17 toka kwa Serengeti Boys pamoja na la timu ya vijana wanaoishi kwenye mazingira magumu na kuwakabidhi Simba kombe lao Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
 Uwanja wa Taifa umetapika
 Wachezaji wa Simba na wa Kagera Sugar wakisalimiana
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiingia kukagua wachezaji kabla ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati ya Simba SC na Kagera sugar ambapo Simba walifungwa bao 1-0 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na kipa wa Kagera Sugar Juma Kaseja kabla ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati ya Simba SC na Kagera sugar ambapo walifungwa bao 1-0 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana wachezaji wa Kagera Sugar Juma Kaseja kabla ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati yao na  Simba SC na Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana wachezaji wa Kagera Sugar Juma Kaseja kabla ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati yao na  Simba SC na Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na waamuzi wa  mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati yao na  Simba SC na Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na waamuzi wa  mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati yao na  Simba SC na Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi kabla ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati yao na  Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wachezaji wa Simba kabla ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati yao na  Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wachezaji wa Simba kabla ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati yao na  Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wachezaji wa Simba kabla ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati yao na  Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mtoto wa mchezaji wa Simba Kichuya kabla ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati yao na  Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wachezaji wa Simba kabla ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati yao na  Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na viongozi wengine wakisalimia mashabiki kabla ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati ya Simba  na  Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa Leodegar Tenga kabla ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati ya Simba  na  Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Kagera Sugar Limited Seif Ally Seif kabla ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati ya Simba  na  Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
 Wadau wa kandanda wakishuhudia mchezo huo
 Wadau wa kandanda wakishuhudia mchezo huo
 Wadau wa kandanda wakishuhudia mchezo huo
 Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama walikuwepo kushuhudia mchezo huo
 Wadau wa kandanda wakishuhudia mchezo huo
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na vionmgozi wengine wakifuatilia mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati ya Simba  na  Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
 Mashabiki wa Simba 
  Mashabiki wa Simba 
  Mashabiki wa Simba 
 Kipute uwanjani
  Mashabiki wa Simba 
  Mashabiki wa Simba 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akionmgea na Waziri Mwakyembe wakati wa mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati ya Simba  na  Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
 Haji Manara akiwa na wadau wa soka wakifuatilia mchezo
 Msemaji wa Simba De la Boss Haji Manara akionesha furaha ya ubingwa
 Mashabiki wa Simba wakifurahia ubingwa
 Mwali
 Hekaheka langoni pa Kagera Sugar
 Goli lililoiua Simba
 Goli lililoiua Simba
 Goli lililoiua Simba

 Viongozi wa Kagera Sugar wakiwa na Mkurugenzi wa wadhamini Vodacom na Mwenyekiti wa BMT
 Mashabiki wa Simba baada ya timu yao kufungwa goli
 Simamnzi baada ya kufungwa
 Rais wa Shirikisho la Soka nchini TFF Wallace Karia akitoa muhtasari wa shughuli
  Waziri wa Habari, Utamaduni na Sanaa Dkt. Harrison Mwakyembe akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuhutubia baada ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati ya Simba SC na Kagera sugar ambapo walifungwa bao 1-0 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia baada ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodaco kati ya Simba SC na Kagera sugar ambapo walifungwa bao 1-0 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018
 Viongozi wakifuatilia hotuba ya Rais
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia baada ya mchezo wa kutimiza ratiba wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom kati ya Simba SC na Kagera sugar ambapo walifungwa bao 1-0 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo Jumamosi Mei 19, 2018

1 comment:

Anonymous said...

duu 1!! tuna uwanja mpya mzuri namna hii sikujua.Bongo long time sikuenda.