Advertisements

Thursday, June 7, 2018

Siku ya Tatu ya Mafunzo ya Matumizi ya Mfumo wa Epicor 10.2 Jijini Mbeya

Mkufunzi wa Chuo Cha Serikali za Mitaa Hombolo Mkoani Dodoma Bw. Muhsin Danga (kushoto) akisisitiza jambo kwa Mkufunzi wa Chuo hicho Bw. Gration Justuce leo Jijini Mbeya wakati wa mafunzo ya matumizi ya mfumo wa Epicor 10.2 kwa wahasibu, waweka hazina na maafisa ugavi wa mikoa ya Mbeya, Rukwa na Songwe.
Sehemu ya Washiriki wa mafunzo ya matumizi ya mfumo wa Epicor 10.2 kwa wahasibu, waweka hazina na maafisa ugavi wa mikoa ya Mbeya, Rukwa na Songwe.
 Mshiriki wa mafunzo ya matumizi ya mfumo wa Epicor 10.2 kutoka Halmashuri ya Wilaya ya Busekelo Mkoani Mbeya Bw.Aidan Angettile akifanya mazoezi ya vitendo juu ya namna ya kutumia mfumo wa Epicor 10.2 leo Jijini Mbeya ambapo mafunzo hayo yanaendelea yakiwashirikisha wahasibu, waweka hazina na maafisa ugavi wa Mikoa ya Mbeya, Rukwa na Songwe.
Muhasibu Kutoka Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bi.  ASha Msangi akifafanua jambo kwa mmoja wa washiriki wa mafunzo ya matumizi ya mfumo wa Epicor 10.2 yanaoendelea Jijini Mbeya ambapo mafunzo hayo yanaendelea yakiwashirikisha wahasibu, waweka hazina na maafisa ugavi wa Mikoa ya Mbeya, Rukwa na Songwe.
Afisa Usimamizi Fedha, Kutoka Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. Mmaka Mwinjaka  akitoa maelezo ya namna mfumo wa Epicor 10.2 unavyofanya kazi na utakavyosaidia kuongeza tija  leo Jijini Mbeya ambapo mafunzo hayo yanaendelea yakiwashirikisha wahasibu, waweka hazina na maafisa ugavi wa Mikoa ya Mbeya, Rukwa na Songwe.
PIX6. Afisa Usimamizi Fedha, Kutoka Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. Mmaka Mwinjaka  akifafanua jambo kwa washiriki wa mafunzo  ya namna ya kutumia mfumo wa Epicor 10.2 leo Jijini Mbeya ambapo mafunzo hayo yanaendelea yakiwashirikisha wahasibu, waweka hazina na maafisa ugavi wa Mikoa ya Mbeya, Rukwa na Songwe.

(Picha zote na Frank Mvungi MAELEZO, Mbeya)

No comments: